Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 23, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 23
Habari

UBIA WA BARRICK NA TWIGA WACHOCHEA UTENGENEZAJI ENDELEVU WA THAMANI KATIKA UCHUMI WA TANZANIA

January 23, 2025 Admin

Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampuni ya

Read More
Kimataifa

Kuongezeka kwa misaada ya Gaza, sasisho la El Fasher, msaada kwa Somalia, haki nchini Belarus – Masuala ya Ulimwenguni

January 23, 2025 Admin

Ofisi ya uratibu wa misaada OCHA ilisema Umoja wa Mataifa na washirika wetu wanatuma vifaa kwa makazi maalum ya dharura na vituo vya usambazaji katika

Read More
Habari

TRA: Tutakusanya kodi bila migogoro na walipaji

January 23, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wataendelea kukusanya kodi kwa manufaa ya Taifa bila kuingia migogoro na

Read More
Habari

Waziri Mkuu atoa maagizo kwa TMA uboreshaji vituo

January 23, 2025 Admin

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) iweke kipaumbele cha kuboresha mtandao wa uangazi wa taarifa za hali ya hewa

Read More
Habari

Simbachawene atoa mwongozo Tasaf inavyofanya kazi

January 23, 2025 Admin

Singida. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema moja ya majukumu makuu ya Mfuko wa

Read More
Habari

TMA YATOA UTABIRI WA MVUA ZA MASIKA 2025, BAADHI YA MIKOA KUPATA MVUA NYINGI

January 23, 2025 Admin

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za wastani hadi juu ya wastani zinatarajiwa kunyesha katika maeneo mengi ya Nyanda za Juu Kaskazini

Read More
Kimataifa

Fursa Mpya ya Kupanua Ufikiaji wa Watoto kwa Elimu – Masuala ya Ulimwenguni

January 23, 2025 Admin

Takriban watoto wote duniani kote wanapata elimu ya msingi bila malipo, huku karibu 90% wakimaliza shule ya msingi. Lakini ni hadithi tofauti kwa watoto wa

Read More
Habari

MKONGO WA TAIFA KUINUA TEKNOLOJIA NA BIASHARA TANZANIA NA NCHI JIRANI

January 23, 2025 Admin

Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia, na Habari imekamilisha ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, hatua inayolenga kuboresha mawasiliano ya ndani na kuimarisha uhusiano

Read More
Habari

MRADI WA MAJI KEMONDO TUMAINI JIPYA LA WANABUKOBA

January 23, 2025 Admin

Na Dulla Uwezo Imeelezwa kuwa changamoto zilizokuwepo katika Mradi wa Maji wa Kemondo Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, sasa huenda zikatatuliwa kwa kile kinachodaiwa kuwa

Read More
Habari

Mawakili walivyorushiana mpira, Dk Slaa kuendelea kusota mahabusu

January 23, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa akiendelea kusota mahabusu kutokana na kukabiliwa na kesi ya jinai, mawakili wanaomtetea na mawakili wa

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.