
UBIA WA BARRICK NA TWIGA WACHOCHEA UTENGENEZAJI ENDELEVU WA THAMANI KATIKA UCHUMI WA TANZANIA
Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampuni ya Dhahabu ya Barrick imeingiza zaidi ya dola bilioni 4.24 katika uchumi wa Tanzania tangu kuanzishwa kwa ubia wa Twiga kati yake na Serikali ya Tanzania mwaka 2019, na kuchangia dola…