Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampuni ya
Day: January 23, 2025

Ofisi ya uratibu wa misaada OCHA ilisema Umoja wa Mataifa na washirika wetu wanatuma vifaa kwa makazi maalum ya dharura na vituo vya usambazaji katika

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wataendelea kukusanya kodi kwa manufaa ya Taifa bila kuingia migogoro na

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) iweke kipaumbele cha kuboresha mtandao wa uangazi wa taarifa za hali ya hewa

Singida. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema moja ya majukumu makuu ya Mfuko wa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za wastani hadi juu ya wastani zinatarajiwa kunyesha katika maeneo mengi ya Nyanda za Juu Kaskazini

Takriban watoto wote duniani kote wanapata elimu ya msingi bila malipo, huku karibu 90% wakimaliza shule ya msingi. Lakini ni hadithi tofauti kwa watoto wa

Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia, na Habari imekamilisha ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, hatua inayolenga kuboresha mawasiliano ya ndani na kuimarisha uhusiano

Na Dulla Uwezo Imeelezwa kuwa changamoto zilizokuwepo katika Mradi wa Maji wa Kemondo Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, sasa huenda zikatatuliwa kwa kile kinachodaiwa kuwa

Dar es Salaam. Wakati mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa akiendelea kusota mahabusu kutokana na kukabiliwa na kesi ya jinai, mawakili wanaomtetea na mawakili wa