“Tunasikitishwa sana na hatari kubwa ya mashambulizi ya kundi lenye silaha la M23 huko Gomamji mkuu wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya
Day: January 24, 2025

• Mwanasheria Mkuu wa Serikali asisitiza kuendelea kusogeza huduma karibu na Wananchi Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali limekutana na kufanya

Rukwa. Wavuvi 550 waliokuwa wanafanya shughuli za uvuvi katika Ziwa Rukwa wameokolewa na wengine 10 wakiendelea kutafutwa kufuatia upepo mkali uliotokea jana 23 Januari 2025

Mwanza. Baada ya wananchi mikoa ya kanda ya Ziwa na nchi jirani kutumia saa mbili kusubiria kivuko cha Mv Mwanza na MV Misungwi kwenda kati

AI inaweza kupanua ukosefu wa usawa, lakini watunga sera wanaweza kukabiliana na hili kwa kutumia mitandao bora zaidi ya usalama wa kijamii, programu za ustadi

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yatakayofanyika kitaifa Machi 8, 2025, mkoani Arusha. Hayo yamesemwa

Dodoma. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema endapo kilimo kingeheshimika kama ilivyo kwa Mwenge wa Uhuru, umasikini Tanzania ungeondoka. Mbali na hilo, ameeleza kusikitishwa kwa

Mbeya. Mashamba ya tumbaku yenye ukubwa wa ekari 120 yameathiriwa na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Mvua hiyo ilinyesha

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Januari 24, 2025 kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu

Zoezi la utiaji saini mikataba 9 ya ujenzi wa miradi ya maji kati ya Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na wakandarasi likiendelea Na Marco Maduhu,