Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 24, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 24
Kimataifa

Hofu kwamba mji mkuu wa eneo Goma utakabiliwa na mashambulizi – Masuala ya Ulimwenguni

January 24, 2025 Admin

“Tunasikitishwa sana na hatari kubwa ya mashambulizi ya kundi lenye silaha la M23 huko Gomamji mkuu wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya

Read More
Habari

BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA MWANASHERIA MKUU LAKUTANA

January 24, 2025 Admin

 • Mwanasheria Mkuu wa Serikali asisitiza kuendelea kusogeza huduma karibu na Wananchi Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali limekutana na kufanya

Read More
Habari

Wavuvi 550 wakumbwa na dhoruba Ziwa Rukwa, 10 hawajulikani walipo

January 24, 2025 Admin

Rukwa. Wavuvi 550 waliokuwa wanafanya shughuli za uvuvi katika Ziwa Rukwa wameokolewa na wengine 10 wakiendelea kutafutwa kufuatia upepo mkali uliotokea jana 23 Januari 2025

Read More
Habari

Daraja la JPM kuanza mwezi ujao

January 24, 2025 Admin

Mwanza. Baada ya wananchi mikoa ya kanda ya Ziwa na nchi jirani kutumia saa mbili kusubiria kivuko cha Mv Mwanza na MV Misungwi kwenda kati

Read More
Kimataifa

Jinsi Akili Bandia Itakavyoathiri Uchumi wa Asia – Masuala ya Ulimwenguni

January 24, 2025 Admin

AI inaweza kupanua ukosefu wa usawa, lakini watunga sera wanaweza kukabiliana na hili kwa kutumia mitandao bora zaidi ya usalama wa kijamii, programu za ustadi

Read More
Habari

Samia mgeni rasmi Siku ya Wanawake Duniani

January 24, 2025 Admin

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yatakayofanyika kitaifa Machi 8, 2025, mkoani Arusha. Hayo yamesemwa

Read More
Habari

Bashe atamani kilimo kiheshimiwe kama Mwenge

January 24, 2025 Admin

Dodoma. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema endapo kilimo kingeheshimika kama ilivyo kwa Mwenge wa Uhuru, umasikini Tanzania ungeondoka. Mbali na hilo, ameeleza kusikitishwa kwa

Read More
Habari

Mvua ya mawe yaharibu ekari 120 za tumbaku Chunya

January 24, 2025 Admin

Mbeya. Mashamba ya tumbaku yenye ukubwa wa ekari 120 yameathiriwa na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Mvua hiyo ilinyesha

Read More
Habari

WILAYA YA UBUNGO WAZINDUA KAMPENI YA ‘UBUNGO USIKU KAMA MCHANA’

January 24, 2025 Admin

 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Januari 24, 2025 kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu

Read More
Habari

MIKATABA 9 YA MIRADI YA MAJI KATI YA RUWASA NA WAKANDARASI YASAINIWA SHINYANGA

January 24, 2025 Admin

Zoezi la utiaji saini mikataba 9 ya ujenzi wa miradi ya maji kati ya Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na wakandarasi likiendelea Na Marco Maduhu,

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.