Magomeni Makuti Yafurahia Ujio wa Meridianbet

JUMAMOSI nyingine tena ya mwezi wa kwanza ambapo siku ya leo kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet imeamua kuwafikia wakazi wa Magomeni Makuti na kutao msaada wa vyakula. Meridianbet, kwa kutambua changamoto zinazowakabili wakazi wa Magomeni Makuti, iliamua kuwatembelea wakazi wa eneo hilo na kutoa msaada wa vyakula kwa familia zinazokumbwa na hali ngumu ya…

Read More

TAWA IMESHIRIKI WIKI YA SHERIA KANDA YA DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania(TAWA) Kanda Maalum ya Dar es Salaam imeshiriki katika maandamano ya kuanzishamisha wiki ya sheria Maandamani hayo yameanzia Mahakama Kuu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuhitimishwa katika viwanja vya mnazi mmoja huku yakishirikisha wahifadhi kutoka Makao Makuu ya Kanda na kituo cha Magofu leo januari25,2025. Kauli mbiu ya maadhimisho…

Read More

ILALA TUPO TAYARI KUPOKEA UGENI “ DC MPOGOLO

    Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amesema Wilaya ya Ilala imejipanga kikamilifu kupokea ugeni mkubwa wa marais na viongozi wa nchi za Afrika wanaotarajiwa kuwasili nchini kwa ajili ya mkutano  utakaofanyika tarehe 27 na 28 Januari mwaka huu. Ameyasema hayo leo, tarehe 25 Januari 2025, wakati wa zoezi…

Read More

BARABARA ZA BRT KURAHISISHA USAFIRI WA MISAFARA YA VIONGOZI WA MKUTANO WA NISHATI AFRIKA

  Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, leo Jumamosi, Januari 25, 2024, amekagua miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya Tatu, ambayo inayoanzia katikati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Gongolamboto kupitia Barabara ya Nyerere. Barabara hiyo imepewa kipaumbele maalum kwa maandalizi ya kuwakaribisha viongozi wa nchi mbalimbali watakaoshiriki Mkutano wa Nishati wa…

Read More