Viongozi wa Davos Ahadi Msaada wa Ajenda ya Mageuzi ya Bangladesh – Maswala ya Ulimwenguni

Mshauri Mkuu wa Bangladesh Profesa Muhammad Yunus kwenye Mkutano wa Uchumi wa Dunia. Mikopo: Idara ya Habari ya Bonyeza, Bangladesh na Rafiqul Islam (Davos, Uswizi) Jumanne, Januari 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari DAVOS, Uswizi, Januari 28 (IPS)-Kama mshauri mkuu wa Mshauri wa Bangladesh Muhammad Yunus aliibuka kutoka kwenye mkutano wakati wa Jukwaa la…

Read More

TASAC YAKABIDHI VIFAA TIBA SUMBAWANGA

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 28 Januari, 2025, limekabidhi msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milion kumi 10 katika vituo vitatu vya afya wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa ili kusaidia kuondoa changamoto ya upungufu wa vifaa tiba katika vituo hivyo. Msaada huo umetolewa kufuatia uhitaji wa vifaa hivyo…

Read More

EWURA YAHIMIZA WADAU WA UMEME SINGIDA KUTOA HUDUMA BORA

    Nicholaus Kayombo, Mhandisi Mwandamizi wa Umeme EWURA Kanda ya Kati, akizungumza na wadau wa umeme wakati wa mkutano wa pamoja uliolenga kupokea na kujadili maoni, changamoto na fursa za utoaji huduma za usanikishaji mifumo ya umeme,mjini Singida, leo, 28 Januari 2025, ……… Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya…

Read More

Bondia Mnemwa aomba msaada wa matibabu ili arudi ulingoni

Bondia Mohammed Mnemwa ameomba msaada kwa Serikali, vyama vya mchezo wa ngumi pamoja na wadau kumsaidia kulipa gharama za matibabu anayopatiwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili. Mnemwa alipatwa na tatizo la damu kuvilia kwenye ubongo baada ya kupigwa KO katika raundi ya tatu ya pambano alilocheza na Ally Sewe kwenye pambano lililofanyika Januari 24,…

Read More

Sowah atupia Singida ikitesti mitambo Arusha

Singida Black Stars imeendelea kujifua ikiwa kambini mkoani Arusha na leo imejipima nguvu dhidi ya Mbuni na kushinda mabao 4-1. Singida imeweka kambi mkoani humo ikijiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara chini ya kocha wao mpya Mfaransa Miloud Hamdi. Kwenye mchezo huo mabao ya Singida yamefungwa na Marouf Tchakei na Arthur Bada,…

Read More

Antisemitism juu ya kuongezeka kati ya vizazi vichache – maswala ya ulimwengu

Melissa Fleming, Katibu Mkuu wa Mawasiliano ya Ulimwenguni, anashughulikia Sherehe ya Ukumbusho wa Umoja wa Mataifa ya Umoja wa Mataifa: Ukumbusho wa Holocaust kwa Heshima na Haki za Binadamu kwa kuzingatia Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho katika Kumbukumbu ya Wahasiriwa wa Holocaust. Mikopo: Picha ya UN/Manuel Elías na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Januari…

Read More