Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: January 29, 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • 29
Habari

MITAMBO YA SHILINGI BILIONI 1.7 YAZINDULIWA JIJINI ARUSHA

January 29, 2025 Admin

HAFLA ya uzinduzi wa malori mapya na mtambo mpya wa kutengeneza miundombinu ya barabara yenye thamani ya Sh.bilioni 1.7 imefanyika leo Jijini Arusha. Akizungumza katika

Read More
Kimataifa

Utapiamlo nchini Nigeria unaongezeka kwa kutisha, hatua za haraka zinahitajika – maswala ya ulimwengu

January 29, 2025 Admin

Watoto wanaomba chakula huko Gusau, mji mkuu wa Zamfara, Nigeria. Mikopo: Ahadi Eze/IPS na ahadi Eze (Kadadaba, Nigeria) Jumatano, Januari 29, 2025 Huduma ya waandishi

Read More
Habari

WATANZANIA WATAKIWA KUUENZI URITHI WA UTAMADUNI USIOSHIKIKA

January 29, 2025 Admin

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga bw. Jastin Malisawa Na Mwandishi wetu , Sumbawanga, Rukwa Watanzania wameaswa kuuenzi urithi wa utamaduni usioshikika ili kuweza kurithisha

Read More
Habari

Madereva Tanga walia kukosa ajira kwenye miradi ya maendeleo

January 29, 2025 Admin

Tanga. Wanachama wa Chama cha Madereva wa Malori Mkoa wa Tanga (Chamata) wamelalamikia ukosefu wa ajira kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa mkoani humo, huku

Read More
Habari

TANZANIA YAAHIDI KUENDELEZA USHIRIANO NA BURUNDI SEKTA YA NISHATI

January 29, 2025 Admin

-Burundi yaipongeza Tanzania kwa mafanikio ya nishati-Wampongeza Rais Samia kudumisha amani nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea

Read More
Habari

Uongozi kituo cha afya Ilula waonywa wakipokea msaada wa gari la wagonjwa

January 29, 2025 Admin

Iringa. Uongozi wa Kituo cha Afya Ilula umeonywa kutobagua wagonjwa wanaohitaji kutumia gari la kubebea wagonjwa na kuhakikisha wananchi wote wenye uhitaji wanapata huduma bila

Read More
Habari

Balozi Sefue aalika mawazo kuboresha makusanyo ya kodi

January 29, 2025 Admin

Moshi. Tume ya Rais ya Maboresho ya Mifumo na Muundo wa Kodi imewataka Watanzania kuwasilisha mawazo ya namna Serikali inavyoweza kuongeza ukusanyaji wa mapato bila

Read More
Habari

Rais Samia kuzindua sera ya elimu na mafunzo

January 29, 2025 Admin

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan atazindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023, inayolenga kuleta mageuzi makubwa katika elimu nchini. Miongoni

Read More
Habari

Migogoro ya ardhi, ndoa, ukatili mfupa mgumu

January 29, 2025 Admin

Mikoani. Migogoro ya ardhi, ndoa, na unyanyasaji wa kingono vimetajwa kuwa miongoni mwa malalamiko makubwa ya wananchi katika kipindi hiki cha Wiki ya Sheria, huku

Read More
Habari

Serikali kununua boti ya uokozi ziwa lililoua wavuvi 10

January 29, 2025 Admin

Rukwa. Serikali inakusudia kununua boti maalumu ya kisasa kwa ajili ya shughuli za uokoaji wa wavuvi katika ukanda wa Ziwa Rukwa, hususan pale dhoruba kali

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.