MITAMBO YA SHILINGI BILIONI 1.7 YAZINDULIWA JIJINI ARUSHA

HAFLA ya uzinduzi wa malori mapya na mtambo mpya wa kutengeneza miundombinu ya barabara yenye thamani ya Sh.bilioni 1.7 imefanyika leo Jijini Arusha. Akizungumza katika uzinduzi huo mgeni rasmi Meya wa Jiji la Arusha Macmillan Kirage amesema fedha ilitotumika kununua mitambo hiyo metokana na mapato ya ndani ya Jiji la Arusha na kusisitiza mitambo hiyo…

Read More

Utapiamlo nchini Nigeria unaongezeka kwa kutisha, hatua za haraka zinahitajika – maswala ya ulimwengu

Watoto wanaomba chakula huko Gusau, mji mkuu wa Zamfara, Nigeria. Mikopo: Ahadi Eze/IPS na ahadi Eze (Kadadaba, Nigeria) Jumatano, Januari 29, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KADADABA, Nigeria, Januari 29 (IPS)-Mnamo Juni 2024, Zainab Abdul wa miaka 26 aligundua binti yake wa miaka miwili akikua rangi, kupoteza uzito, na kuhara. Hakushangaa. Kwa kuwa majambazi…

Read More

WATANZANIA WATAKIWA KUUENZI URITHI WA UTAMADUNI USIOSHIKIKA

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga bw. Jastin Malisawa Na Mwandishi wetu , Sumbawanga, Rukwa Watanzania wameaswa kuuenzi urithi wa utamaduni usioshikika ili kuweza kurithisha mbinu za asili za kuhifadhi chakula na kuhifadhi mazingira ili kuwasaidia wakati wa majanga ya asili. Wito huo umetolewa mjini Sumbawanga leo na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga bw….

Read More

Madereva Tanga walia kukosa ajira kwenye miradi ya maendeleo

Tanga. Wanachama wa Chama cha Madereva wa Malori Mkoa wa Tanga (Chamata) wamelalamikia ukosefu wa ajira kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa mkoani humo, huku wenzao kutoka maeneo mengine wakipata nafasi hizo. Madereva hao wametoa malalamiko yao katika mkutano wa ufunguzi wa sherehe za kumbukumbu ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM)…

Read More

Uongozi kituo cha afya Ilula waonywa wakipokea msaada wa gari la wagonjwa

Iringa. Uongozi wa Kituo cha Afya Ilula umeonywa kutobagua wagonjwa wanaohitaji kutumia gari la kubebea wagonjwa na kuhakikisha wananchi wote wenye uhitaji wanapata huduma bila kikwazo. Hayo yamesemwa leo, Jumatano, Januari 29, 2025, na mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga, alipokuwa akikabidhi gari la kubebea wagonjwa kwa kituo hicho kilichopo Kitongoji cha Masukanzi, Kata ya Ilula,…

Read More

Balozi Sefue aalika mawazo kuboresha makusanyo ya kodi

Moshi. Tume ya Rais ya Maboresho ya Mifumo na Muundo wa Kodi imewataka Watanzania kuwasilisha mawazo ya namna Serikali inavyoweza kuongeza ukusanyaji wa mapato bila kuathiri mazingira ya biashara, hatua itakayochochea ukuaji wa maendeleo. Rai hiyo imetolewa leo, Jumatano, Januari 29, 2025, na Mwenyekiti wa tume hiyo, Balozi Ombeni Sefue, wakati wa mkutano wa majadiliano…

Read More

Rais Samia kuzindua sera ya elimu na mafunzo

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan atazindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023, inayolenga kuleta mageuzi makubwa katika elimu nchini. Miongoni mwa mageuzi yaliyopo kwenye sera hiyo ni kufundishwa kwa somo la Tehama, mafunzo ya ufundi stadi kuanzia elimu ya msingi, na matumizi ya akili mnemba (Artificial Intelligence – AI). Msemaji…

Read More

Migogoro ya ardhi, ndoa, ukatili mfupa mgumu

Mikoani. Migogoro ya ardhi, ndoa, na unyanyasaji wa kingono vimetajwa kuwa miongoni mwa malalamiko makubwa ya wananchi katika kipindi hiki cha Wiki ya Sheria, huku wananchi wakiomba Serikali na vyombo vya kisheria kuweka mfumo rasmi wa kutatua changamoto hizo. Wiki ya Sheria inaendelea katika maeneo yote nchini kwa kusikiliza malalamiko na kutatua kero za wananchi,…

Read More