HAFLA ya uzinduzi wa malori mapya na mtambo mpya wa kutengeneza miundombinu ya barabara yenye thamani ya Sh.bilioni 1.7 imefanyika leo Jijini Arusha. Akizungumza katika
Day: January 29, 2025

Watoto wanaomba chakula huko Gusau, mji mkuu wa Zamfara, Nigeria. Mikopo: Ahadi Eze/IPS na ahadi Eze (Kadadaba, Nigeria) Jumatano, Januari 29, 2025 Huduma ya waandishi

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Sumbawanga bw. Jastin Malisawa Na Mwandishi wetu , Sumbawanga, Rukwa Watanzania wameaswa kuuenzi urithi wa utamaduni usioshikika ili kuweza kurithisha

Tanga. Wanachama wa Chama cha Madereva wa Malori Mkoa wa Tanga (Chamata) wamelalamikia ukosefu wa ajira kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa mkoani humo, huku

-Burundi yaipongeza Tanzania kwa mafanikio ya nishati-Wampongeza Rais Samia kudumisha amani nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea

Iringa. Uongozi wa Kituo cha Afya Ilula umeonywa kutobagua wagonjwa wanaohitaji kutumia gari la kubebea wagonjwa na kuhakikisha wananchi wote wenye uhitaji wanapata huduma bila

Moshi. Tume ya Rais ya Maboresho ya Mifumo na Muundo wa Kodi imewataka Watanzania kuwasilisha mawazo ya namna Serikali inavyoweza kuongeza ukusanyaji wa mapato bila

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan atazindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023, inayolenga kuleta mageuzi makubwa katika elimu nchini. Miongoni

Mikoani. Migogoro ya ardhi, ndoa, na unyanyasaji wa kingono vimetajwa kuwa miongoni mwa malalamiko makubwa ya wananchi katika kipindi hiki cha Wiki ya Sheria, huku

Rukwa. Serikali inakusudia kununua boti maalumu ya kisasa kwa ajili ya shughuli za uokoaji wa wavuvi katika ukanda wa Ziwa Rukwa, hususan pale dhoruba kali