Trump asitisha ufadhili kabla ya kesi kusikilizwa

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likiwa kwenye mtanziko kuhusu kusitishiwa misaada ikiwemo dawa za ARV, malaria na kifua kikuu, utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeondoa agizo la kusitisha mikopo ya shirikisho, ruzuku na misaada mingine ya kifedha. Jaribio la Rais Trump kufungia mabilioni ya dola katika ufadhili wa Serikali lilizuiliwa kwa…

Read More

Banda, Mukrim wampa jeuri Mecky Maxime

KOCHA wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime ametaka Ligi Kuu Bara ianze hata sasa baada ya kupata jeuri kutokana na kuongezewa nguvu kwa usajili wa mabeki wawili wa kati, Mukrim Issa kutoka Coastal Union na Abdi Banda aliyekuwa anacheza Richards Bay ya Afrika Kusini. Maxime alisema usajili huo umezingatia mahitaji ya kuongeza nguvu eneo la ulinzi,…

Read More

Kilichomzuia Baleke kutua Namungo chatajwa

MASHABIKI wa klabu ya Namungo walikuwa wakihesabu saa kabla ya kumuona straika wa zamani wa Simba na Yanga, Jean Baleke akitua katika kikosi hicho, lakini imeshindikana na mabosi wa klabu hiyo wameanika sababu zilizomzuia mshambuliaji huyo kujiunga na timu hiyo. Baleke alijiunga na Yanga katika dirisha kubwa la msimu huu, lakini akashindwa kupata nafasi ya…

Read More

Majibu ya Wasira kwa wanaodai CCM imekaa muda mrefu madarakani

Bunda. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Steven Wasira amesema wale wote wanaosema chama hicho kimekaa muda mrefu madarakani wanapaswa kufahamu kuwa hakikuwa na mkataba wa kumaliza kazi, isipokuwa kuleta maendeleo kwa wananchi. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Bunda leo Jumatano, Januari 30 2025, Wasira amesema chama hicho hakina mpango wa…

Read More