Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 10
Habari

Trump asitisha ufadhili kabla ya kesi kusikilizwa

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likiwa kwenye mtanziko kuhusu kusitishiwa misaada ikiwemo dawa za ARV, malaria na kifua kikuu, utawala wa Rais wa

Read More
Habari

WALIPAKODI WA MKOA WA KIKODI KARIAKOO KUPATA HUDUMA KATIKA MAJENGO YA DIAMOND PLAZA NA MARIAM TOWER

January 30, 2025 Admin
Read More
Kimataifa

Nchi za Kiafrika zilitaka kuboresha ukusanyaji wa data – maswala ya ulimwengu

January 30, 2025 Admin

Wauzaji huko Bulawayo, Zimbabwe, ambapo data ya ukosefu wa ajira ya serikali inasemekana na vyama vya wafanyikazi. Mikopo: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo) Alhamisi,

Read More
Michezo

Banda, Mukrim wampa jeuri Mecky Maxime

January 30, 2025 Admin

KOCHA wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime ametaka Ligi Kuu Bara ianze hata sasa baada ya kupata jeuri kutokana na kuongezewa nguvu kwa usajili wa mabeki

Read More
Habari

Trump asitisha ufadhili kabla ya kusikilizwa kwa kesi mahakamani

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likiwa kwenye mtanziko kuhusu kusitishiwa misaada ikiwemo dawa za ARV, malaria na kifua kikuu, utawala wa Rais wa

Read More
Michezo

Kilichomzuia Baleke kutua Namungo chatajwa

January 30, 2025 Admin

MASHABIKI wa klabu ya Namungo walikuwa wakihesabu saa kabla ya kumuona straika wa zamani wa Simba na Yanga, Jean Baleke akitua katika kikosi hicho, lakini

Read More
Habari

Takukuru wambana kiongozi wa Vicoba aliyedaiwa kukwapua Sh13 milioni

January 30, 2025 Admin

Rombo. Taasisi Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imefanikiwa kurejesha zaidi ya Sh13.7 milioni za kikundi cha benki za jamii (Vicoba) cha

Read More
Habari

Majibu ya Wasira kwa wanaodai CCM imekaa muda mrefu madarakani

January 30, 2025 Admin

Bunda. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Steven Wasira amesema wale wote wanaosema chama hicho kimekaa muda mrefu madarakani wanapaswa kufahamu kuwa hakikuwa

Read More
Habari

Tanesco Mbeya yalia kukithiri kwa wizi wa transfoma, waomba msaada

January 30, 2025 Admin

Mbeya. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Mbeya limeiomba Halmashauri ya Jiji la Mbeya kushirikiana nalo kubaini mtandao wa wahalifu wanaojihusisha na wizi wa

Read More
Habari

Baraza la Madiwani Jiji la Dodoma launga mkono maono ya Rais Dkt. Samia Nishati safi

January 30, 2025 Admin

Na. Dennis Gondwe, DODOMA HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inaunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha nishati safi kwa wote

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.