Metacha aajiri watatu kupandisha kiwango

KIPA wa Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema msimu huu ameajiri wataalamu  watatu wa kumchukua video wakati wa mechi ili kupata urahisi wa kujua kitu gani anapaswa kuboresha katika majukumu yake. Kipa huyo wa zamani wa Azam, Mbao na Yanga, alisema sababu ya uamuzi huo ni kutaka kuendana na mabadiliko ya soka kuchezwa kisayansi na…

Read More

Fadlu ashindwa kujizuia, atoa siri Simba

WAKATI Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likiifungia Simba kucheza mechi moja ya nyumbani bila mashabiki huku likiipiga faini ya Dola 40,000, kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids amefichua ukweli akisisitiza kuwa ana mpango tofauti. Mchezo wa wikiendi iliyopita dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, Simba iliotoka sare ya 1-1, uliwafanya vijana hao wa…

Read More

European Union Special Representative for the Great Lakes Region, Johan Borgstam, makes first official visit to Tanzania

As part of ongoing regional engagements, the European Union Special Representative (EUSR) for the Great Lakes Region, Johan Borgstam, is visiting Tanzania from 16 to 18 January, following previous visits to Burundi, DRC, Rwanda, Angola, Kenya and Uganda. EUSR Borgstam will hold high-level discussions with the Minister of Defence, H.E. Stergomena Lawrence Tax, and the…

Read More

Ramovic kuchukua uamuzi mzito Yanga

YANGA haitaki chochote Jumamosi hii zaidi ya ushindi mbele ya MC Alger. Hali hiyo imemfanya Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Sead Ramovic, kuchukua uamuzi mzito ili kuhakikisha wanatoboa. Ramovic ambaye leo Januari 16 anatimiza siku 62 tangu atambulishwe kikosini hapo na kuiongoza Yanga kucheza mechi kumi za mashindano tofauti, aamini uwezo wa kuifunga MC Alger…

Read More