Wafanyabiashara walivyoguswa na mageuzi ya Bandari ya Dar

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), imeridhika na uwekezaji uliofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam, ikisema umeleta ufanisi katika uendeshaji wa bandari hiyo katika uboreshaji wa utoaji wa huduma. Kwa nyakati tofauti Serikali iliingia mikataba na Kampuni za DP World na Kampuni ya Adani Ports ili kuboresha na kuleta ufanisi…

Read More

Sababu kifo cha DC Mahawe

Arusha. Maambukizi kwenye mapafu yaliyosababisha matatizo ya kupumua ndicho kinachotajwa kuwa chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Ester Mahawe. Ester amefariki dunia jana Januari 14, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) Moshi, mkoani Kilimanjaro alikokuwa akipatiwa matibabu ya msaada wa hewa ya Oksijeni kwa ajili…

Read More

Mrithi wa Kinana CCM huyu hapa

Dar/Dodoma. Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijipanga kufanya mkutano mkuu maalumu kuanzia Januari 18 hadi 19, 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda, anatajwa zaidi kumrithi Abdulrahman Kinana katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti – Bara, Mwananchi limedokezwa. Mbali na Pinda, wengine wanaotajwa kukalia kiti hicho cha juu kwenye chama hicho tawala ni mwanasiasa mkongwe Stephen Wasira…

Read More

Mjadala kumulika fursa, changamoto sekta ya nishati safi

Dar es Salaam. Wadau nchini wamepanga kujadili mikakati ya kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia katika kaya za Kitanzania ili kupunguza athari za kiafya na kimazingira zinazohusiana na matumizi ya kuni kwenye shughuli za kupikia. Miongoni mwa dhumuni la majadiliano hayo ni kutimiza lengo la Serikali linalotaka asilimia 80 ya Watanzania watumie nishati safi…

Read More

Taifa Stars yapewa kundi laini Chan 2024

Tanzania imepangwa katika kundi B la mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024 zitakazofanyika Agosti mwaka huu ambalo litaundwa na timu za Mauritania, Madagascar, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika droo ya fainali hizo iliyochezeshwa leo, Taifa Stars imejikuta ikiangukia katika kundi hilo ambalo timu zote zilizopo hakuna…

Read More

HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM YAKIMBIZA WAHUNI WOTE KWENYE MIRADI YA SERIKALI

Halmashauri ya jiji la Dar es salaam imefuta mikataba yote ya ujenzi ambayo imekuwa ikisuasua katika utekelezaji na kuisababishia halmashauri hasara kubwa  akizungumza wakati wa kusaini mkataba mpya na mkandarasi anayejenga shule ya sekindari kipunguni mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Elihuruma Mabelya ametaja kuwa wameamua kufanya uamuzi huo kufuata maelekezo yaliyotolewa…

Read More