
Mashabiki Simba wabebeshwa faini ya CAF
Ahmed alisema kuwa mchango huo utumwe moja kwa moja katika namba ya klabu.
Ahmed alisema kuwa mchango huo utumwe moja kwa moja katika namba ya klabu.
Unguja. Wakati ukizinduliwa mpango mkakati wa kisekta wa lishe Zanzibar wa miaka mitano, Makamu wa Pili wa Rais, Hemed Suleiman Abdulla amezitaka wizara na taasisi zinazohusika kujipanga kuutekeleza, iwapo wakishindwa wajihesabu hawana kazi. Hemed amesema licha ya mafanikio na jitihada kubwa zinazochukuliwa, bado kuna kiwango kikubwa cha matatizo ya lishe duni. Mpango mkakati huo wa…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes Tsh50 Milioni baada ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025.
Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 kutoka milioni 5.2 ya sasa Asema Mkutano wa Mission 300 umekuwa kivutio duniani; Taasisi za Kimataifa zaonesha nia ya kushiriki Ataja sababu za mkutano wa M300 kufanyika Tanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt.Doto Biteko…
Doha. Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Jeshi la Israel (IDF) na kundi la wapiganaji la Hamas lililopo ukanda wa Gaza nchini Palestina yamefikia pazuri. Kwa mujibu wa tovuti ya Al Jazeera, masungumzo ya makubaliano ya kusitisha mapigano hayo yanayoratibiwa na mataifa mbalimbali ikiwemo Qatar na Marekani yanaendelea vyema jijini Doha Qatar. Kwa mujibu wa…
Washington. Zikiwa zimebaki siku tano kuapishwa kwa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump, Michelle Obama ambaye ni mke wa Rais mstaafu wa Marekani, Baraka Obama amesema hatashiriki hafla ya kumuapisha Rais huyo. Trump anatarajiwa kuapishwa jijini Washington DC, Januari 20, 2025, hafla ambayo inatarajiwa kuhudhuriwa na wanasiasa, watu mashuhuri na viongozi wa nchi na wanadiplomasia…
Musoma. Baadhi ya wadau wa sekta ya kodi mkoani Mara wamependekeza kupunguzwa kwa wingi wa kodi ili kuimarisha uchumi wa taifa. Wamesema hatua hiyo itahamasisha ulipaji wa hiari wa kodi na kuchangia ongezeko la pato la Taifa. Wadau hao wamesisitiza umuhimu wa kuunganisha baadhi ya kodi na tozo ili zikusanywe na taasisi moja badala ya…
Dar es Salaam. Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu Dk Manguruwe. Dk Manguruwe na mwenzake Rweyemamu John (59) ambaye ni mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, wanakabiliwa na mashtaka 28 yakiweno ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji…
BAADA ya kukamilisha usajili wa Danny Lyanga, kocha mkuu wa Mashujaa, Mohamed Abdallah ‘Baresi’ amefichua siri iliyomfanya amsajili mshambuliaji huyo mkongwe akisema ni uzoefu mkubwa alionao anaoamini utaibeba timu katika duru la pili la Ligi Kuu Bara. Lyanga aliyekuwa JKT Tanzania, amewahi pia kucheza Tanzania Prisons, Geita Gold, Azam, Simba na Fanja ya Oman ametua…
Dar es Salaam. Kesi ya mauaji inayomkabili Sophia Mwenda anayedaiwa kumuua binti yake akishirikiana na kijana wake wa kiume, imerejeshwa tena kwa Hakimu Mkazi Mkuu Franco Kiswaga kuisikiliza kwa niaba ya Mahakama Kuu, badala ya Jaji. Hii ni mara ya pili Hakimu Kiswaga ambaye ni Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam,…