Abdi Banda aibukia Dodoma Jiji

BEKI kisiki wa zamani wa Coastal Union, Simba na Mtibwa Sugar, Abdi Banda amejiunga na Dodoma Jiji kama mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Baroka FC ya Afrika Kusini. Banda alivunja mkataba na Baroka miezi mitatu tangu ajiunge na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship. Beki huyo alivunja mkataba na timu hiyo baada ya…

Read More

Camara aungana na kina Kyombo

MSHAMBULIAJI Abdoulaye Yonta Camara ameungana na nyota wengine kutoka Singida Black Stars kuitumikia Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita. Nyota waliotua Pamba Jiji katika dirisha dogo la usajili ambalo lilifungwa jana usiku kutoka Singida Black Stars ni pamoja na Habib Kyombo, Hamad Majimengi na Mohamed Kamara. Taarifa kutoka Singida BS zimethibitisha kumuondoa mchezaji huyo…

Read More

Utekaji kaa la moto Kenya, Waziri asimulia mwanawe alivyotekwa

Nairobi. Hali ya mambo nchini Kenya inaonekana kuendelea kuwa tata, baada ya Waziri wa Utumishi wa Umma, Justin Muturi kufichua hadharani jinsi mwanawe, Leslie Muturi alivyotekwa na namna Rais William Ruto alivyosaidia na kuhakikisha anachiliwa huru. Kwa mujibu wa Muturi, licha ya kujaribu kuwasiliana na viongozi wa vyombo vya usalama bila mafanikio, alilazimika kumuomba Rais…

Read More

Tabora yabeba straika kutoka Tajikistan

DIRISHA dogo la usajili lilifungwa jana usiku, huku mapema juzi Tabora United ilikamilisha dili la kumsajili mshambuliaji mzawa Emmanuel Mwanengo aliyekuwa akiichezea Vakhsh Bokhtar iliyopo Tajikistan. Klabu hiyo iliyomaliza katika nafasi ya tano katika Ligi Kuu Tajikistan (SSR Tajik League), Mwanengo aliitumikia kwa mwaka mmoja kabla ya dirisha la digo la usajili  kuamua kujiunga na…

Read More

USIKU WA MAPENE LEO EPL, SERIE A, BUNDESLIGA KUWAKA MOTO

USIKU wa leo ni usiku wa mapene kwani itapigwa michezo ya kutosha katika ligi tofauti tofauti kuanzia Uingereza, Italia, na Ujerumani ambapo zitakupa fursa ya kunyakua mkwanja wako. Pale ligi kuu ya Uingereza itapigwa michezo kadhaa, ligi kuu ya Ujerumani halikadhalika itapigwa michezo kadhaa, bila kusahau ligi kuu ya Italia ambayo nayo itashuhudia mchezo mkali…

Read More

M-Bet yatambulisha tovuti yenye huduma bora na bomba kwa wateja

  Na Mwandishi Wetu. Dar es Salaam. Kampuni inayojulikana kwa ubunifu katika sekta ya michezo ya kubahatisha, M-Bet Tanzania, imezindua muonekano mpya wa tovuti yake kwa lengo la kuboresha huduma kwa wateja.  Tovuti hiyo, inayopatikana kupitia www.m-bet.co.tz, inawawezesha wateja kubashiri aina mbalimbali za michezo na kufanya miamala ya kuweka na kutoa fedha kwa urahisi zaidi….

Read More