BARAZA LA SALIM: Jeshi la Polisi Zenji lichunguze vifo tata

Wakati taarifa za kuhimiza amani, utulivu na upendo zikisikika Zanzibar katika nyumba za ibada na kwingineko matukio ya vifo, baadhi vya watu waliokuwa mikononi mwa vyombo vya dola zimeshitua watu na kuuliza visiwa hivi naelekea wapi? Jamaa wa marehemu wawili walioiaga dunia karibuni katika Kijiji cha Kiiungoni, Kusini Pemba, walikataa kupokea maiti hadi sababu ya…

Read More

Watoto wawili waliotoweka wapatikana kwa mganga wa kienyeji

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limesema watoto wawili waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha wakiwa na mfanyakazi wa ndani siku tano zilizopita wamepatikana. Imeelezwa katika taarifa ya polisi kuwa watoto hao wamepatikana wakiwa kwa mganga wa kienyeji Kimara Baruti, jijini Dar es Salaam. Watoto hao, wakazi wa Tandika, jijini Dar es Salaam, ni Husna Gulam…

Read More

Ukosefu wa umeme kikwazo vifaatiba kufanya kazi Chato

Chato. Vifaatiba vyenye thamani ya Sh210 milioni vilivyopelekwa na Serikali katika Kituo cha Afya Nyabilezi, Kata ya Bukome wilayani Chato havitumiki kwa zaidi ya miezi sita. Hali hiyo inatokana na ukosefu wa umeme unaotosheleza kuviwezesha kufanya kazi (umeme wa njia tatu). Kituo hicho kilijengwa kwa gharama ya Sh1.4 bilioni, fedha za Mpango wa Kunusuru Kaya…

Read More

Trafiki matatani kwa madai ya kudhalilisha Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Askari wa usalama barabarani walioonekana wakichukua rushwa kutoka kwa madereva wa daladala, wamekamatwa na Jeshi la Polisi. Video iliyosambaa mitandaoni leo Januari 15, imewaonyesha askari hao, mmoja wa kike na mwingine wa kiume wakipokea vitu vinavyodhaniwa kuwa fedha kutoka kwa madereva wa daladala zilizosimamishwa na kisha kuwaruhusu waondoke eneo la Vingunguti, Dar…

Read More

WAWEKEZAJI WAITWA KUWEKEZA MWANGA.. – MICHUZI BLOG

NA WILLIUM PAUL, MWANGA. MKUU wa wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Mwanahamisi Munkunda amewataka wawekezaji kwenda kuwekeza katika wilaya hiyo kwani tatizo la maji ambalo lilikuwa kero kwao limeshapatiwa ufumbuzi wa kudumu. Alitoa kauli hiyo jana alipofanya kikao na Wadau wa maji na menejimenti ya Mamlaka ya Maji Same Mwanga (Samwasa) mara baada ya kutembelea…

Read More

DEREVA AKAMATWA MOROGORO BAADA YA GARI LA MAFUTA KUPINDUKA

Farida Mangube, Morogoro  Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva Daniel Benaya Mwiluli, mwenye umri wa miaka 39, mkazi wa Makambako, mkoa wa Njombe, kwa tuhuma za uzembe uliosababisha ajali ya gari lililokuwa limebeba mafuta aina ya diesel. Dereva huyo alikamatwa Januari 15, 2025, katika eneo la Mzambarauni, kata ya Mafisa, wilaya ya Morogoro,…

Read More