Siha. Watumishi wawili wa Bodi ya Maji Magadini Makiwaru, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwaunganishia huduma ya maji wananchi 63
Month: January 2025

*Azindua Gereji ya St.Gabriel, chuo cha ushonaji na ufundi wa magari *-Atoa mwito kwa wakazi wa Arusha kupeleka magari mabovu Na Seif Mangwangi, Arusha ASKOFU

Dar es Salaam. Saa chache tangu ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa kikodi Kariakoo kuwaka moto, mamlaka hiyo imezihamishia kwa muda huduma

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Kibaha mji limetoa tamko na kuazimia rasmi kwa pamoja kumpongeza Rais wa awamu ya sita

Karagwe. Watu wawili, mama na mtoto wake, wamekutwa wamefariki dunia ndani ya chumba wanachoishi huku chanzo kikitajwa kuwa ni kukosa hewa baada ya kuacha jiko

Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa Benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali: * Faida

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, amekutana na kufanya mazungumzo na Prof. Gerald Eisenkopf, wa Chuo Kikuu cha Vechta nchini Ujerumani

KAMA ilivyo kawaida wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wameendelea na zoezi lao la kurejesha kwenye jamii ambapo safari hii wameamua kuilenga zahanati ya Alimaua na

Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi Viongozi wa

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Uganda, imethibitisha mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Ebola, ‘Sudan Ebola Virus Disease’ (SVD) jijini Kampala baada ya sampuli