Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 11
Habari

Watumishi wawili wa Bodi ya Maji wasimamishwa kazi Siha

January 30, 2025 Admin

Siha. Watumishi wawili wa Bodi ya Maji Magadini Makiwaru, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwaunganishia huduma ya maji wananchi 63

Read More
Habari

ASKOFU AMANI ACHUKIZWA NA UTORO WANAFUNZI VYUONI, ATOA MWITO KWA WAZAZI

January 30, 2025 Admin

*Azindua Gereji ya St.Gabriel, chuo cha ushonaji na ufundi wa magari *-Atoa mwito kwa wakazi wa Arusha kupeleka magari mabovu Na Seif Mangwangi, Arusha ASKOFU

Read More
Habari

TRA kuhudumia wafanyabiashara wa Kariakoo Diamond Plaza, Mariam Tower kwa muda

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Saa chache tangu ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa kikodi Kariakoo kuwaka moto, mamlaka hiyo imezihamishia kwa muda huduma

Read More
Habari

MADIWANI KIBAHA MJI WASHUSHA MATAMKO YA KUMFAGILIA RAIS DKT.SAMIA

January 30, 2025 Admin

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Kibaha mji limetoa tamko na kuazimia rasmi kwa pamoja kumpongeza Rais wa awamu ya sita

Read More
Habari

Mama na mwanaye wakutwa wamefariki dunia chumbani kwa kukosa hewa

January 30, 2025 Admin

Karagwe. Watu wawili, mama na mtoto wake, wamekutwa wamefariki dunia ndani ya chumba wanachoishi huku chanzo kikitajwa kuwa ni kukosa hewa baada ya kuacha jiko

Read More
Habari

Benki ya NMB Yavunja Rekodi ya Ufanisi kwa Matokeo ya Kihistoria ya Mwaka wa Fedha 2024, Ikiashiria Ukuaji wa Kimkakati na Ubora wa Uendeshaji

January 30, 2025 Admin

Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa Benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali: * Faida

Read More
Habari

UDOM KUIMARISHA USHIRIRIKIANO NA CHUO KIKUU CHA VECHTA UJERUMANI

January 30, 2025 Admin

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, amekutana na kufanya mazungumzo na Prof. Gerald Eisenkopf, wa Chuo Kikuu cha Vechta nchini Ujerumani

Read More
Habari

Zahanati ya Alimaua Yapokea Msaada Kutoka Meridianbet

January 30, 2025 Admin

KAMA ilivyo kawaida wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wameendelea na zoezi lao la kurejesha kwenye jamii ambapo safari hii wameamua kuilenga zahanati ya Alimaua na

Read More
Habari

DKT. BITEKO AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MIILI YA WANAFUNZI WALIOFARIKI KWA RADI GEITA

January 30, 2025 Admin

   Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi  Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi  Viongozi wa

Read More
Habari

Mlipuko wa virusi vya ebola wathibitishwa Uganda

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Uganda, imethibitisha mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Ebola, ‘Sudan Ebola Virus Disease’ (SVD) jijini Kampala baada ya sampuli

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 10 11 12 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.