Watumishi wawili wa Bodi ya Maji wasimamishwa kazi Siha

Siha. Watumishi wawili wa Bodi ya Maji Magadini Makiwaru, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwaunganishia huduma ya maji wananchi 63 kinyume cha utaratibu. Watumishi hao ambao ni mafundi wa bodi hiyo, wanadaiwa kuwaunganisha wananchi hao kwenye huduma ya maji bila kuwajumuisha kwenye mfumo wa malipo, jambo lililosababisha upotevu wa mapato…

Read More

Benki ya NMB Yavunja Rekodi ya Ufanisi kwa Matokeo ya Kihistoria ya Mwaka wa Fedha 2024, Ikiashiria Ukuaji wa Kimkakati na Ubora wa Uendeshaji

Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa Benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali: * Faida Kabla ya Kodi: TZS bilioni 931, ongezeko la 20% kwa mwaka* Faida Baada ya Kodi: TZS bilioni 644, ongezeko la 18% kwa mwaka* Jumla ya Mapato: TZS trilioni 1.64, ongezeko…

Read More

Zahanati ya Alimaua Yapokea Msaada Kutoka Meridianbet

KAMA ilivyo kawaida wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wameendelea na zoezi lao la kurejesha kwenye jamii ambapo safari hii wameamua kuilenga zahanati ya Alimaua na kutoa msaada wa mashuka. Wababe wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kama sehemu ya juhudi zake za kuchangia jamii, imeendelea kurudi kwenye jamii kwa kutoa msaada wa mashuka kwa Zahanati ya Alimaua,…

Read More

Mlipuko wa virusi vya ebola wathibitishwa Uganda

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Uganda, imethibitisha mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Ebola, ‘Sudan Ebola Virus Disease’ (SVD) jijini Kampala baada ya sampuli kuthibitishwa na maabara tatu za kitaifa. Taarifa hiyo iliyotolewa leo Alhamisi, Januari 30, 2025 imeelezea kuwa tukio la kwanza, muuguzi mwenye miaka 32 kutoka Hospitali ya Rufaa ya Taifa ya…

Read More