Singida Black Stars yafuata mido Burkina Faso

SINGIDA Black Stars imetua kambi ya timu ya Taifa ya Burkina Faso ikipambana kuipata saini ya Clement Pitroipa mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji na ukabaji. Pitroipa alikuwa nyota wa mchezo wakati Burkina Faso ikiichapa Kilimanjaro Stars katika michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika juzi Jumatatu Kisiwani Pemba akifunga bao moja na kutengeneza lingine wakishinda…

Read More

Samia amthibitisha Lwamo Tume ya Madini

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi viongozi mbalimbali akiwemo Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Ramadhan Lwamo. Uteuzi wa Lwamo umekuja ikiwa ni takribani miezi saba baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo akichukua nafasi ya Yahaya Samamba aliyeteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini. Mbali na…

Read More

Kocha Stand aukubali mziki wa Geita Gold, ajipanga upya

BAADA ya kumaliza mzunguko wa kwanza Ligi ya Championship kinyonge kwa kuchapwa mabao 3-1 na Geita Gold, Kocha Msaidizi wa Stand United, Feisal Hau amekubali kiwango cha wapinzani wake huku akiwatupia lawama mabeki kwa kukosa umakini. Timu hiyo ilikubali kichapo hicho mwishoni mwa wiki iliyopita katika Uwanja wa Nyankumbu, mjini Geita na kuhitimisha mechi 15…

Read More

Yanga yapewa mwamuzi wa sare

NYOTA wa Yanga wanatakiwa kuongeza umakini wakati wakipambania ushindi, Jumamosi katika mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger kutokana na rekodi ya ajabu ya mwamuzi, Patrice Milazare kutoka Mauritius ambaye anatarajiwa kuamua mchezo huo. Katika michezo mitatu aliyoamua msimu huu, rekodi ya Milazare ni ya…

Read More

KONA FYATU MFYATUZI: Hamisheni mafisi, mafisadi, si akina Yero

Kejaa enteipa inno? Jibuni kasidai endama, ai, maata enyemali. Keje ninye eninno. Kwanza, nimshukuru mheshimiwa Rais kwa kutuliza joto la Nrongonrongo. Huwa nashangaa mafyatu wanavyofikiri kinyumenyume. Leo, nitafyatua kasheshe ya kuwaonea akina Yero sobai wanaohamishwa kwenye ardhi ya mababu zao utadhani waanimo toka Serengeti kwenda Burigi-Chato zama zile za Geitalite aka Gbadolite na sasa Kizimikadolite…

Read More

Tanzania ilivyojipanga mashindano ya Chan

Kamati ya ndani ya Tanzania ya maandalizi ya fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) 2025 imesema kuwa Tanzania iko tayari kuandaa fainali hizo mwezi ujao. Fainali hizo zitafanyika kuanzia Februari Mosi hadi Februari 28 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania zikishirikisha mataifa 19. Mwenyekiti wa kamati ya…

Read More

Sababu CAF kusogeza mbele Chan

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza kusogeza mbele fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) 2024 zilizokuwa zifanyike Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia Februari Mosi hadi Februari 28, 2025. Taarifa iliyotolewa na CAF leo Jumanne, Januari 14, 2025 imeeleza kuwa kuahirishwa kwa Chan ni kutoa muda wa kukamilisha miundombinu kwa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Kabla ya kuwateua chunguza

Hakuna hata mmoja aliyekamilika katika idara zote, isipokuwa Mwenyezi Mungu. Ndiyo maana familia ina baba, mama na watoto. Timu ya mpira wa miguu inaundwa na watu tofauti, wakiwemo makipa, walinzi, viungo na washambuliaji. Serikali nayo inaundwa na wanasiasa, watendaji, wasimamizi na idara nyingine. Yote hayo ni kuhakikisha mawazo tofauti yanatumika kujenga. Ipo hadithi ya mfalme…

Read More