PROF. KABUDI AHIMIZA MATUMIZI YA KAMUSI YA KISWAHILI SHULENI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi akipokea kamusi ya Lugha ya Kiswahili kwa shule za msingi kutoka kwa Katibu Mtendaji wa BAKITA, Consolata Mushi. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha Kamusi ya Kiswahili inatumika ipasavyo shuleni ili…

Read More

Polisi yawasaka walioiba kwenye Toyota Alphard jijini Arusha – Video – Global Publishers

ARUSHA-Jeshi la Polisi mkoani Arusha linafanya uchunguzi na kuwatafuta watu wote waliohusika katika tukio la wizi ndani ya gari aina ya Toyota Alphard lenye namba za usajili T. 340 EJR, kama inavyoonekana katika picha zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Januari 14, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi…

Read More

Pesa zinazotumwa na Fedha dhidi ya Ufadhili Mtazamo wa Watendaji wa Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Pesa zinazotumwa hutoa kitu ambacho uhisani hauwezi: uhuru. Familia zinazopokea pesa huamua jinsi bora ya kutenga fedha hizo, kulingana na mahitaji yao muhimu zaidi. Mkopo: Shutterstock Maoni by Tafadzwa Munyaka (harare) Jumanne, Januari 14, 2025 Inter Press Service HARARE, Jan 14 (IPS) – Katika Afŕika kote, mageuzi ya kiuchumi na maendeleo yanachochewa na mikondo miwili…

Read More

Matumaini wawekezaji kutoka Japan wakitua Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni 20 za uwekezaji kutoka nchini Japan zimekuja Tanzania kuangalia fursa za uwekezaji katika maeneo ya kilimo, utalii na sekta ya uzalishaji viwandani ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili. Kampuni hizo zimekutana na nyingine 50 za Kitanzania kwa lengo la kubadilishana uzoefu, teknolojia sambamba na kufanya biashara…

Read More

Wazazi wakumbushwa kutimiza wajibu wa malezi

Njombe. Kamati ya Shule ya Msingi NjooMlole iliyopo Halmashauri ya Mji wa Njombe imewataka wazazi kutimiza wajibu wao wa malezi kwa kuhakikisha wanawanunulia watoto wao vifaa vinavyohitajika shuleni ikiwamo sare za shule, madaftari na kupeleka vyakula shuleni ili wasome kwa uhuru na kufaulu masomo yao. Hayo yamesemwa leo Januari 14, 2025 na Mwenyekiti wa Kamati…

Read More

Rais Samia ahutubia Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2025.      Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi hao (Diplomatic…

Read More