
Madereva walia na maegesho ya magari Kendwa
Unguja. Madereva wa magari ya utalii Kijiji cha Kendwa, Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba Serikali kuwapatia eneo la maegesho ya magari ili kuondokana na usumbufu unajitokeza. Wamezungumza hayo katika kikao cha Katibu Tawala Wilaya ya Kaskazini A, Unguja, leo Januari 14, 2025, kilichowakutanisha madereva hao kuzungumzia changamoto mbalimbali. Dereva Abdulla Abdi Ahmada amesema awali walikuwa…