WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA JAPAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 14, 2025 amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Mheshimiwa Fujii Hisayuki (kulia kwake) na ujumbe aliofuatana nao kwenye ukumbi wa Mikutano wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam. Katika mazungumzo yao, Waziri Mkuu amemweleza Mheshimiwa Fujii kuwa Tanzania imeendelea kuweka…

Read More

MAADILI YAWAONGOZE KATIKA MAJUKUMU YENU YA KILA SIKU.

Askari wanaofanya kazi kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Songwe wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi pindi wanapotekeleza majukumu yao ya kusimamia sheria za usalama barabarani kwa lengo la wananchi kuendelea kuwa na imani na Jeshi la Polisi hususani katika kikosi hicho. Hayo yalisemwa Januari 14, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi…

Read More

KUCHEZA POOL TABLE MASAA YA KAZI NI KOSA KISHERIA.

Vijana wa Kijiji cha Ndolezi Kata ya Mlangali Tarafa ya Iyula Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuacha tabia ya kucheza mchezo wa pool table nyakati za asubuhi wakati muda huo wanapaswa kufanya shughuli rasmi za kujiingizia kipato kwa maendelo yao na taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa Januari 14, 2025 na Polisi Kata ya…

Read More

LORI LAUA 11 WALIOKWENDA KUSHUHUDIA AJALI SEGERA.

Na Oscar Assenga, Handeni. WATU 11 wamefariki dunia wa Kijiji cha Chang’ombe kilichopo Kata ya Segera wilayani Handeni Mkoani Tanga baada ya kugongwa na lori lililokuwa limebeba saruji baada ya kupoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani walipokuwa wakishanga ajali ya gari dogo aina ya tata . Watu hao walijitokeza barabarani ili kuweza kutoa msaada kufuatia ajali…

Read More

Simba ya Fadlu yamkosha Azim Dewji

SIMBA imerudi nchini ikiwa na tiketi yake mkononi ya kucheza robo fainali ya sita kwenye mashindano ya Caf na kwenye msafara wa timu hiyo alikuwemo mfadhili wao wa zamani, Azim Dewji, ambaye ameshuka na maneno mazito juu ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Fadlu Davids. Dewji katika mechi mbili za hivi karibuni ambazo Simba imeenda…

Read More