Fei Toto ataja kilichowabeba Mapinduzi Cup

NAHODHA wa kikosi cha Zanzibar Heroes, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefichua kujituma kwao mwanzo hadi mwisho ndiyo siri kubwa ya kuwa mabingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025. Zanzibar Heroes ilibeba ubingwa wa michuano hiyo baada ya jana Jumatatu kuichapa Burkina Faso mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba. Katika mchezo…

Read More

Prisons yabadili gia kwa Sabato

TAARIFA zinabainisha Tanzania Prisons imeachana na mpango wa kuendelea na mshambuliaji Kelvin Sabato, badala yake inapambana kusaka mrithi wake huku jina la Yusuph Athuman likitajwa. Awali Prisons ilimpa Sabato mkataba wa miezi sita kipindi hiki cha usajili wa dirisha unaofungwa leo Jumatano, lakini baadaye ikaamua kuchana naye huku sababu kubwa ikitajwa ni nidhamu. Imeelezwa kati…

Read More

Bibi adaiwa kujiua kwa kunywa sumu Rombo

Moshi. Mkazi wa Kijiji cha Kibaoni, wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, Theodora Nisetas anayekadiriwa kuwa na miaka 65, anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu huku chanzo kikiwa bado hakijajulikana. Alipotafutwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa kuzungumzia tukio hilo, aliomba apewe muda kulifuatilia kama limeripotiwa polisi wilayani humo. Inadaiwa kuwa, jaribio la Theodora kutaka…

Read More

TMA YATOA TAHADHARI YA UWEPO WA KIMBUNGA ‘DIKELEDI’

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “DIKELEDI” katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji.  Katika taarifa yake iliyotolewa leo Januari 14, 2025 imesema mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kwa sasa kipo katika mwambao wa pwani ya Msumbiji na kinatarajiwa kurejea katika Rasi…

Read More

TASAF YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA ZANZIBAR (ZITF)

  Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF, umeshiriki kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar ‘Zanzibar International Trade Fair’ ambapo umewawezesha wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa kutoka visiwa vya Pemba na Unguja kuonesha na kuuza bidhaa mbalimbali wanazozizalisha. Pia katika maonesho hayo, wananchi kutoka maeneo mbalimbali wanapata fursa ya kujifunza namna…

Read More

TMA yatangaza uwepo wa Kimbunga Dikeledi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa Kimbunga Dikeledi katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji. Katika taarifa yake, iliyotoa leo Jumanne Januari 14, 2025 mamlaka hiyo inaeleza kuwa, mifumo ya hali ya hewa inaonesha kimbunga hicho kwa sasa kipo mwambao wa pwani ya Msumbiji…

Read More

Mkuu wa Wilaya Mbozi afariki dunia

Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Mohamed Mchengerwa kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha mkuu huyo wa wilaya kilichotokea leo Januari 14, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) mkoani Kilimanjaro…

Read More

Stein, Polisi wana balaa kikapu Dar

MSHIKEMSHIKE umeendelea kuonyeshwa na timu mbalimbali katika Ligi Daraja la Kwanza Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo kuna vita kali ya kuwania kupanda Ligi Kuu ya Kikapu mkoani humo (BDL), huku Stein Warriors na Polisi zikiendelea kuonyesha umwamba. Tukianza na Warriors, nguvu kubwa iliyotumiwa na PTW katika mchezo dhidi yake ilichangia timu hiyo kupoteza…

Read More