Lema: Uchaguzi ukiwa huru na haki, Mbowe hawezi kushinda

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema kama uchaguzi wa mwenyekiti ndani ya chama hicho utafanyika kwa uhuru, uwazi na haki basi Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hawezi kushinda. Lema ambaye ametangaza msimamo wake wa kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kwenye…

Read More

Lema asimama na Lissu, ampa neno Mbowe

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Lema amtaka Mbowe kumwachia Lissu uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Tanzania ilivyojiandaa mashindano ya Chan

KAMATI ya ndani ya Tanzania ya maandalizi ya fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) imesema kuwa Tanzania iko tayari kuandaa fainali hizo mwezi ujao. Michuano hiyo itafanyika kuanzia Februari Mosi hadi 28 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania zikishirikisha mataifa 19. Mwenyekiti wa kamati ya ndani…

Read More

11 wafariki dunia ajalini Handeni, 13 wajeruhiwa

Handeni. Watu 11 wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo Kijiji cha Chang’ombe Kata ya Segera wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Ajali hiyo imetokea baada ya basi aina ya Tata kupinduka na baadaye wananchi kujitokeza kusaidia ndipo lori linalodaiwa kufeli breki likawagonga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda…

Read More

NEWZ ALERT : LORI LAUA 11 WALIOKWENDA KUSHUHUDIA AJALI SEGERA.

Na Oscar Assenga, Handeni. WATU 11 wamefariki dunia wa Kijiji cha Chang’ombe kilichopo Kata ya Segera wilayani Handeni Mkoani Tanga baada ya kugongwa na lori lililokuwa limebeba saruji baada ya kupoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani walipokuwa wakishanga ajali ya gari dogo aina ya tata .Watu hao walijitokeza barabarani ili kuweza kutoa msaada kufuatia ajali ya…

Read More

Marufuku ya majoho ilivyogonga mwamba shuleni

Tumemaliza msimu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, lakini wazazi bado hawajasahau makovu ya gharama za mahafali ya wahitimu, huku suala la majoho kwa wahitimu likizidi kuchukua sura mpya katika mitandao ya kijamii. Badala ya kutumia majoho kwenye mahafali, taasisi nyingine mbali na vyuo vikuu zilienda mbali zaidi kuhamasisha watoto kushona suti, ambazo zilikuwa…

Read More

Maboresho mapya Sera ya Elimu kutatua changamoto za elimu?

Dar es Salaam. Ijumaa Januari 11, 2025 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, alitangaza kuidhinishwa kwa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 toleo la 2023, inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi mwishoni mwa Januari 2025. Sera hiyo ambayo utekelezaji wake ulianza mwaka 2024, itazinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan. “Mageuzi yaliyopo katika sera ni…

Read More

Mgombea uenyekiti Bavicha ajitoa, amuunga mkono Mahinyila

Dar es Salaam. Wakati wagombea wa uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) wakinadi sera zao, mmoja wao, Shija Shibeshi ametangazwa kujitoa na kumuunga mkono Deogratius Mahinyila. Hatua ya Shibeshi kutangaza kujiondoa, inapigia msumari uamuzi wake alioutangaza tangu Januari 11, 2025 katika mdahalo uliowakutanisha wagombea wote wa nafasi hiyo,  ambapo alisema atajiengua lakini mpaka…

Read More