Vitambulisho 31,000 vya Nida vilivyofutika kutengenezwa upya

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema alishatoa maagizo kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), kutengeneza upya vitambulisho takribani 31,000 vilivyofutika taarifa zake. Waziri huyo amesema amepokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusiana na ubora hafifu wa vitambulisho hivyo na kuagiza vitengenezwe upya. Waziri Bashungwa ametoa kauli hiyo…

Read More

Msako magari ya shule ambayo hayakukaguliwa waanza Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Mkoa wa Arusha, kimeanza msako wa kuwakamata madereva wote waliokaidi kupeleka magari yanayobeba wanafunzi. Imeelezwa kuwa madereva hao watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Ukaguzi huo ulianza Desemba mwaka jana wakati shule zimefungwa lengo ni kutaka kuondokana na ajali zinazosababishwa na ubovu wa vyombo hivyo vya moto….

Read More

Waziri Ulega amuagiza Msonde kuweka taa za barabarani Dakawa

Morogoro. Waziri wa Ujenzi, Abdalah Ulega, amemuagiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde, kuhakikisha eneo la Dakawa, lililopo wilayani Mvomero, linawekwa taa za barabarani na kujengwa maeneo ya maegesho ya magari ili kuwezesha wananchi kufanya shughuli zao wakati wote. Ulega ametoa agizo hilo leo Jumatatu, Januari 13, 2025 wakati wa ziara…

Read More

Mawakili waibua jambo kesi inayomkabili Dk Slaa

Dar es Salaam. Wakati Jamhuri ikiwasilisha pingamizi la dhamana dhidi ya mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa, anayekabiliwa na kesi ya jinai, mawakili wake pia wameibua pingamizi dhidi ya kesi hiyo wakihoji uhalali wake. Jopo la mawakili wa Dk Slaa linaloundwa na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na mawakili wengine maarufu wakiwamo Peter…

Read More

Tabora United mdaka mishale kutoka Gabon

MUDA wowote Tabora United inaweza kumtangaza kipa raia wa Gabon, Jean Noel Amonome baada ya kukamilika ishu ya makubaliano ya mkataba. Tabora United inaendelea kujiimarisha maeneo mbalimbali ikiwemo golini kufuatia kuondoka kwa Hussein Masalanga aliyerejea Singida Black Stars baada ya kuitumikia timu hiyo kwa mkopo huku Victor Sochima akiondolewa. Katika kuimarisha eneo hilo, Tabora United…

Read More

Mpepo suala la muda tu Singida Black Stars

BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi sita, taarifa zimefichua kuwa mshambuliaji, Eliuter Mpepo amemalizana na Singida Black Stars hivyo ni suala la muda tu kuanza kuitumikia timu hiyo akiwa mchezaji huru. Mpepo alikuwa nje ya uwanja baada ya kumalizana na timu yake ya zamani Trident ya Zambia na kutua nchini akifanya mazoezi…

Read More

Polisi TZ yambeba Kawambwa | Mwanaspoti

BAADA ya kukosa nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Singida Black Stars, beki Rashid Kawambwa amepelekwa Polisi Tanzania inayoshiriki Championship kuitumikia kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. Kawambwa ni miongoni mwa wachezaji waliotolewa kwa mkopo na Singida Black Stars kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo linalotarajiwa kufungwa Januari 15 mwaka huu. “Polisi Tanzania imeonyesha…

Read More

Loth atua Coastal Union | Mwanaspoti

KIUNGO wa zamani wa Mbeya City, Yanga na Namungo, Raphael Daudi Loth amekamilisha uhamisho wake kwa mkopo wa miezi sita kuitumikia Coastal Union. Awali, Daud alikuwa akicheza kwa mkopo Namungo FC akijiunga nayo mwanzoni mwa msimu huu baada ya kukaa kwa takriban miezi sita, alirejea Singida Black Stars iliyoamua kumpeleka Coastal Union. Kiungo huyo awali…

Read More