Serikali yaanza kuwapokea vijana 420 wa BBT awamu ya pili

Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kuwapokea vijana wa awamu ya pili wa mradi wa Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT) ambapo wanatarajia kupokea vijana 420 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Januari 12, 2024 Mkurugenzi Msaidizi Mipango na Bajeti wa Wizara wa Kilimo, Mohamed Chikawe amesema awamu hii wanatarajia…

Read More

BALOZI NCHIMBI NA MONGELLA WAMTEMBELEA MZEE MANGULA

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Ndugu John Mongella, amemtembelea kwa ajili ya kumsabahi na kumjulia hali Mzee Philip Japhet Mangula, Makamu Mwenyekiti wa CCM Mstaafu (Bara), nyumbani kwake Msalato, Dodoma, leo Jumapili tarehe 12 Januari 2025. Baada ya mazungumzo hayo…

Read More

Gwaride, maonyesho ya kivita yanogesha sherehe miaka 61 ya Mapinduzi Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, jana aliongoza wananchi na viongozi mbalimbali katika kuadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika sherehe zilizofanyika Gombani, Chake Chake, Pemba. Makomando wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni miongoni mwa waliokuwa kivutio kikubwa katika kilele cha maadhimisho hayo ya Mapinduzi ya Zanzibar. Miongoni mwa viongozi waliohudhuria…

Read More

DC Simanjiro atoa siku 14 wanafunzi wote wawe wameripoti shuleni

Simanjiro. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala ametoa agizo kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari wawe wameanza masomo ifikapo Januari 27, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Januari 12, 2025 ofisini kwake, Lulandala amesisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wazazi au walezi…

Read More

Maria Sarungi adaiwa kutekwa Nairobi

Dar es Salaam. Mwanaharakati, Maria Sarungi ambaye kwa sasa anaishi nchini Kenya ameripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana leo nchini humo. Taarifa iliyochapishwa katika ukurasa wa Instagram wa Daily Nation, leo Jumapili Januari 12, 2025 imeeleza: “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi wa haki za binadamu, ametekwa nyara na…

Read More

Adaiwa kuchoma nyumba kisa wivu wa mapenzi

Njombe. Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Lino, anadaiwa kuchoma moto nyumba aliyopanga mpenzi wake, Ajentina Ngimbudzi (31) katika Mtaa wa Idundilanga, Halmashauri ya Mji wa Njombe. Tukio hilo limetokea baada ya ugomvi uliosababishwa na madai ya wivu wa mapenzi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Januari 12, 2025, Ngimbudzi amedai ugomvi huo ulizuka…

Read More

Tahadhari yatolewa kuwajibu wezi, matapeli mitandaoni

Dar es Salaam. Moja ya mbinu za kujilinda dhidi ya wizi na utapeli unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii ni kutojibu maelekezo wala kutoa taarifa binafsi za mtumiaji kwa mtu ama chanzo asichokifahamu. Kwa wale waliowahi kutapeliwa, ni dhahiri walikubali kwa namna moja ama nyingine kutoa taarifa zao binafsi, ikiwemo kuingiza nywila katika vyanzo visivyotambulika, wakati…

Read More

Mama mbaroni akidaiwa kuwaua wanawe wawili

Songwe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Junge Jilatu (28) na wenzake wawili, wakazi wa Kijiji cha Namsinde, Kata ya Mkulwe, Tarafa ya Kamsamba kwa tuhuma za mauaji ya watoto wake wawili. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Augustino Senga, leo Jumapili, Januari 12, 2025, imeeleza tukio hilo limetokea jana Jumamosi, Januari…

Read More

Abalkassim freshi, Sebo bado kidogo

KLABU ya Pamba Jiji imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa Fountain Gate, Abalkassim Suleiman kwa mkataba wa miaka miwili, huku uongozi ukiwa pia katika harakati za kuinasa saini ya beki wa kati wa Azam FC, Abdallah kheri Sebo. Abalkassim amekamilisha usajili huo ikiwa ni mwezi mmoja tangu asimamishwe na Fountain Gate baada ya kushutumiwa kuihujumu…

Read More