Kinda la Yanga laingia kikosi bora

KINDA wa Yanga, Shaibu Mtita anayekipiga Wakiso Giants ya Uganda ameingia kwenye kikosi bora cha raundi ya 15 baada ya kufanya vizuri kwenye nusu ya msimu wa ligi ya nchi hiyo. Mtita pamoja na Isaack Emmanuel ‘Mtengwa’ wapo Wakiso kwa mkopo wakitokea Yanga ya vijana U-20 ambako walifanya vizuri wakicheza baadhi ya mashindano, Mapinduzi Cup…

Read More

Mradi wa LNG Lindi wanukia, mazungumzo karibu kukamilika

Dar es Salaam. Mazungumzo ya utekelezaji wa mradi wa kusindika gesi asili kwenda kwenye kimiminika (LNG) mkoani Lindi huenda yakafika tamati mapema mwaka huu, huku kila upande ukiwa na matumaini ya kupata ‘dili’ lililo bora. Mradi huo wenye thamani ya Dola bilioni 42 za Marekani (Sh106.1 trilioni) unatarajiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,000, zikiwemo 500…

Read More

Straika Mtanzania arejea Bongo | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa Fleetwoods United FC, Mgaya Ally iliyokuwa inashiriki Ligi Darala la Pili UAE yuko Bongo akiwindwa na Coastal Union ya Tanga. Nyota huyo alimaliza mkataba wa miaka miwili hivi karibuni na kabla ya kucheza Falme za Kiarabu aliwahi kutumikia Coastal Union ya vijana U-20 msimu wa 2020/21. Hapo awali Mgaya alihusishwa na…

Read More

JKT Queens yabeba wawili wapya

JKT Queens kama ilivyo kawaida yake ya kusajili wachezaji chipukuzi ambao wanafanya vizuri, tayari imenasa saini za wachezaji wapya wawili makinda wenye vipaji. Wachezaji hao ni beki wa kati, Aneth Masala kutoka Allan Queens ya Dodoma na kiungo mshambuliaji, Elizabeth John kutoka Alliance Girls. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na uongozi wa Allan Queens, Masala…

Read More

Mtanzania ateuliwa bosi Umoja wa Afrika

Dar es Salaam. Tanzania imeendelea kung’ara katika nyanja za kimataifa baada ya Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk John Rwegasha kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Tiba, Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU). Dk Rwegasha ambaye anatarajiwa kuanza kazi Februari 2025 katika nafasi hiyo mpya amesema…

Read More

Mnunka akubali yaishe Simba Queens

BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitano, hatimaye straika wa Simba Queens, Aisha Mnunka amekubali yaishe na kuingia kambini na wenzake. Agosti Mosi, mwaka jana Mwanaspoti iliripoti nyota huyo wa timu ya taifa (Twiga Stars) ametoroka kambini ikiwa ni siku chache tangu atoke kwenye majukumu ya taifa. Hata hivyo, baada ya Simba…

Read More