SERIKALI KUFANYA JITIHADA UTOAJI HUDUMA SAA 24 KABANGA

Na. Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa inafanya jitihada ili Kituo cha Forodha cha Pamoja (OSBP) Kabanga, kinachotoa huduma kati ya Tanzania na Burundi, kiweze kutoa huduma saa 24 ili kuongeza ufanisi. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Ngara,…

Read More

LONGIDO WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA ELIMU YA FEDHA KUKUZA UCHUMI

Na. Saidina Msangi, WF, Longido, Arusha. Wananchi Wilayani Longido wamehimizwa kutumia fursa ya elimu ya fedha katika kuhakikisha kuwa wanapanga mipango ya biashara mapema ili kuweza kutumia vema mikopo inayotolewa na Serikali kupitia kila Halmashauri ili kujikwamua kiuchumi. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Longido Mhe. Salum Kalli, alipokuwa akifungua mafunzo ya elimu…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Tabora United tunawasubiria tuwaone tena

TUMEWAONA Tabora United katika mechi 16 walizocheza kwenye Ligi Kuu msimu huu, walikuwa wa moto kweli na haikuwa rahisi kupambana nao ndani ya uwanja. Walicheza soka la mipango na walionyesha kuwa wachezaji wao wanaelewa na kufanyia kazi vyema kile ambacho kocha wao Anicet Kiazayidi amekuwa akiwafundisha mazoezini. Haikushangaza kuona warina-asali wakikusanya pointi 25 katika mechi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Ikanga Speed afanye kazi hasa Yanga

JUMAMOSI iliyopita tulikuwa na hamu kweli ya kumuona bwana Jonathan Ikangalombo akiwa na jezi za Yanga katika mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Copco ambayo timu yake ilipata ushindi wa mabao 5-0. Siku zote kipya kinyemi hivyo tukawa tunatamani kumuona kama vitu vimo mguuni au havimo maana kiutaratibu huku uswahilini, suala la kumjaji mchezaji…

Read More

Gusa achia yambeba Ramovic Yanga

KOCHA wa Yanga, Sead Ramovic wikiendi hii anaingia tena kibaruani kuiongoza katika mechi ya kiporo cha Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar huku akiwa na silaha inayombeba zaidi katika falsafa yake ya ‘Gusa Achia Twende Kwao’ iliyoonyesha matunda katika mechi tano zilizopita. Yanga iliyoachwa pointi moja na Simba katika msimamo wa ligi ina nafasi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Afcon 2025 tukikaza tunatoboa freshi tu!

BAADA ya droo ya kupanga makundi ya fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 kukamilika, hapa kijiweni kwetu karibu wote tulikuwa tumeingiwa na ubaridi. Kundi C ambalo tumepangwa kwenye Afcon 2025 ambazo zitafanyika Morocco sio mchezo na likatupa mchecheto sana kuanzia muda huo kwani tumepangwa na timu ambazo huwa zinatusumbua hasa. Nigeria hatujawahi kuifunga hata…

Read More