Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 13
Habari

WANAWAKE VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA SONGWE KUSHIRIKI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

January 30, 2025 Admin

Na Issa Mwadangala Askari wa kike kutoka Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Songwe waungana ili kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani

Read More
Habari

SERIKALI KUFANYA JITIHADA UTOAJI HUDUMA SAA 24 KABANGA

January 30, 2025 Admin

Na. Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa inafanya jitihada ili Kituo cha Forodha cha Pamoja (OSBP) Kabanga, kinachotoa huduma kati ya Tanzania na Burundi,

Read More
Habari

LONGIDO WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA ELIMU YA FEDHA KUKUZA UCHUMI

January 30, 2025 Admin

Na. Saidina Msangi, WF, Longido, Arusha. Wananchi Wilayani Longido wamehimizwa kutumia fursa ya elimu ya fedha katika kuhakikisha kuwa wanapanga mipango ya biashara mapema ili

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Tabora United tunawasubiria tuwaone tena

January 30, 2025 Admin

TUMEWAONA Tabora United katika mechi 16 walizocheza kwenye Ligi Kuu msimu huu, walikuwa wa moto kweli na haikuwa rahisi kupambana nao ndani ya uwanja. Walicheza

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Ikanga Speed afanye kazi hasa Yanga

January 30, 2025 Admin

JUMAMOSI iliyopita tulikuwa na hamu kweli ya kumuona bwana Jonathan Ikangalombo akiwa na jezi za Yanga katika mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Copco

Read More
Michezo

Gusa achia yambeba Ramovic Yanga

January 30, 2025 Admin

KOCHA wa Yanga, Sead Ramovic wikiendi hii anaingia tena kibaruani kuiongoza katika mechi ya kiporo cha Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar huku akiwa

Read More
Michezo

AKILI ZA KIJIWENI: Afcon 2025 tukikaza tunatoboa freshi tu!

January 30, 2025 Admin

BAADA ya droo ya kupanga makundi ya fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 kukamilika, hapa kijiweni kwetu karibu wote tulikuwa tumeingiwa na ubaridi. Kundi

Read More
Habari

Muswada uwekezaji wa umma mbioni kupelekwa bungeni, Diaspora watajwa

January 30, 2025 Admin

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema uundwaji wa Mamlaka ya Usimamizi wa Uwekezaji wa Umma unasubiri kupitishwa kwa Sheria ya Mamlaka ya Uwekezaji wa Umma. Kauli

Read More
Habari

Zimamoto waudhibiti moto katika jengo lenye ofisi za TRA Dar

January 30, 2025 Admin

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dar es Salaam limefanikiwa kuudhibiti moto uliozuka katika jengo lenye ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Kariakoo.

Read More
Habari

Sababu mbili vituo vya Kabanga, Murusagamba kotofanya kazi saa 24

January 30, 2025 Admin

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema kwa sasa haiwezi kuruhusu kituo cha Murusagamba kufanya kazi kwa saa 24 sababu mbili zikitajwa ni udogo wa mwenendo wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 12 13 14 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.