Yanga yaendelea kukusanya mashine WPL

BAADA ya kushusha majembe matatu kwenye dirisha dogo la usajili, Yanga Princess imesema bado wengine wanakuja. Hadi sasa Yanga imetambulisha wachezaji watatu kutoka Get Program, Diana Mnally, Zubeda Mgunda na Protasia Mbunda ambao hapo awali Mwanaspoti tuliwahi kuandika kuhusu tetesi za wachezaji hao kuhusishwa na wananchi wa kike. Msimu huu Yanga Princess chini ya Edna…

Read More

Sidibe siku zinahesabika Azam | Mwanaspoti

WAKATI kikosi cha Azam FC kikiendelea kujifua ili kujiweka fiti kwa ngwe ya lalasalama ya Ligi Kuu Bara itakayorejea Machi Mosi, inaelezwa kwamba beki wa kushoto wa kimataifa wa timu hiyo kutoka Senegal, Cheikh Sidibe anahesabiwa siku kabla ya kumtemwa kabla dirisha la usajili halijafungwa. Mwanaspoti limedokezwa kwamba beki huyo anayeitwa mara kadhaa timu ya…

Read More

Tanzania Prisons yampa miwili beki Mzenji

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wamekamilisha taratibu za kumsajili beki wa kati Athuman Sufian Mwemfua (23) kwa mkataba wa miaka miwili kutoka Junguni United ya Ligi Kuu Zanzibar. Athuman kwa sasa anaripotiwa kuwa Mbeya tayari kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho ambacho kimeruhusu mabao 17 katika michezo 16 ya Ligi Kuu Bara, na kina…

Read More

Afrika na mkakati wa kujiondoa gizani

Dar es Salaam. Licha ya juhudi zinazofanywa na mataifa mbalimbali Afrika kuhakikisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi wake, zaidi ya nusu ya Waafrika bado hawajafikiwa na huduma hiyo. Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), katika watu wanaokadiriwa kufikia bilioni moja wanaoishi Afrika, takriban milioni 685 hawajafikiwa na huduma ya umeme. Hali hiyo ya…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA DHARURA NJE YA HOSPITALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU BINAFSI

NA WAF SERIKALI kupitia Wizara ya Afya itaendelea kutekeleza mkakati wake wa kuimarisha huduma za dharura nje ya hospitali kwa kushirikiana na wadau binafsi. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu alipotembelea moja ya wadau wa Sekta binafsi wanaotoa huduma za Dharura kampuni ya Emergency Medical Services inayofahamika kama E-Plus Tanzania,…

Read More

SERIKALI YAWAONYA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA JIMBO LA MBINGA VIJIJINI KUEPUKA ULEVI WAKATI WA ZOEZI LA UANDIKISHAJI KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

Na Mwandishi Wetu,Mbinga WAANDISHI wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki katika Jimbo la Mbinga vijijini mkoani Ruvuma,wameonywa kutokwenda kwenye vituo vya Uandikishaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura wakiwa wamelewa bali kufanya kazi kwa kujituma, weledi na uadilifu ili waweze kufanikisha kazi hiyo. Wito huo umetolewa jana na Afisa Mwandikishaji wa Jimbo hilo Pascal…

Read More

Vijumbe wa upatu na mzigo wa madeni kwa wasio waaminifu

Dar es Salaam. Inaelezwa viongozi wengi wanaoongoza vikundi vya upatu wanakutana na changamoto kubwa ya madeni baada ya washiriki kushindwa kulipa fedha kwa wakati, kuchelewesha, au hata kutoweka bila taarifa. Hali hii imeathiri hasa upatu unaochezeshwa mtandaoni, ambapo baadhi ya wanufaika huzima simu, kuhama makazi, na hata kutoweka, jambo linalowaweka viongozi wa upatu kwenye matatizo….

Read More

Vijumbe wa upatu na mzigo wa madeni kwa sio waaminifu

Dar es Salaam. Inaelezwa viongozi wengi wanaoongoza vikundi vya upatu wanakutana na changamoto kubwa ya madeni baada ya washiriki kushindwa kulipa fedha kwa wakati, kuchelewesha, au hata kutoweka bila taarifa. Hali hii imeathiri hasa upatu unaochezeshwa mtandaoni, ambapo baadhi ya wanufaika huzima simu, kuhama makazi, na hata kutoweka, jambo linalowaweka viongozi wa upatu kwenye matatizo….

Read More