Kituo cha afya Chifutuka chapata gari la kubebea wagonjwa

Bahi. Wananchi wapatao 18,604 wa Kata ya Chifutuka wameishukuru Serikali kwa hatua ya kuwaletea gari la kubebea wagonjwa ambalo litahudumu kwenye kituo cha afya Chifutuka ambacho pia kinahudumia wananchi kutoka Wilaya ya Singida Vijijini mkoa wa Singida. Wakizungumza leo Jumamosi, Januari 11, 2025 wakati wa makabidhiano hayo na Mbunge wa wilaya ya Bahi Kenneth Nollo,…

Read More

1,675 watibiwa magonjwa ya ngono Njombe

Njombe. Kaimu Mganga mkuu wa Mkoa wa Njombe Dk David Ntahindwa amesema mwaka 2024 huduma ya uzazi wa mpango ilitolewa kwa vijana balehe wapatao 35,223 (wenye umri kati ya miaka 10 hadi 24) huku zaidi ya 1,600 wakitibiwa magonjwa ya ngono. Takwimu hizo zimetolewa leo Januari 11, 2025 wakati wa mkutano wa Naibu Waziri Ofisi…

Read More

200,000 wajitokeza kuomba ajira 14,648 za ualimu

Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema usaili wa walioomba ajira kwenye kada ya ualimu utafanyika kuanzia Januari 14 hadi Februari 24 mwaka huu kwenye vituo vya usaili vilivyopo kwenye mikoa ambayo wasailiwa hao wanaishi. Simbachawene amesema nafasi za ualimu zilizotangazwa na Serikali ni 14,648 lakini…

Read More

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA AFRIKA KUHUSU KILIMO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2025 ameshiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kuhusu Mpango wa Maendeleo ya Kilimo Afrika ambapo alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Speke Resort, Munyonyo, Kampala Uganda. Awali Mheshimiwa Majaliwa alishuhudia Tamasha la…

Read More

Azam, Sillah waitana mezani | Mwanaspoti

KITENDO cha klabu ya AS Vita ya DR Congo kumnyemelea mchezaji Gibril Sillah, kimewafanya mabosi wa Azam FC kuwa na haraka ya kumwandalia ofa ya mkataba mpya nyota huyo kutoka Gambia, ambaye mkataba wake na timu hiyo ya Chamazi utamalizika mwishoni mwa msimu huu, Juni 2025. Kwa mujibu wa taarifa za ndani, inaelezwa kuwa kocha…

Read More