Kituo cha afya Chifutuka chapata gari la kubebea wagonjwa
Bahi. Wananchi wapatao 18,604 wa Kata ya Chifutuka wameishukuru Serikali kwa hatua ya kuwaletea gari la kubebea wagonjwa ambalo litahudumu kwenye kituo cha afya Chifutuka ambacho pia kinahudumia wananchi kutoka Wilaya ya Singida Vijijini mkoa wa Singida. Wakizungumza leo Jumamosi, Januari 11, 2025 wakati wa makabidhiano hayo na Mbunge wa wilaya ya Bahi Kenneth Nollo,…