Jamii namba mbioni kuanza kutolewa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza zaidi ya mifumo 300 kufanya kazi kwa kusomana, wajumbe wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) wametaka mchakato wa utoaji namba jamii kwa Watanzania kuharakishwa. Hiyo imetajwa kuwa moja ya njia itakayosaidia kusomana kwa mifumo hiyo kuwa na faida katika ukuaji wa uchumi na kuongeza uwazi zaidi. Jamii namba…

Read More

Sababu Dk Slaa kushitakiwa, kunyimwa dhamana

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe, Dk Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X (zamani twitter). Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo jioni, Januari 10, 2025 akikabiliwa na kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025. Dk Slaa aliyewahi kuwa balozi wa…

Read More

Mume na mke mbaroni wakituhumiwa kuiba mtoto

Songea. Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia wenza  wakazi wa Mjimwema kwa fupi Manispaa ya Songea, kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa miezi 11. Jeshi hilo pia  linawatafuta wanawake wengine wawili ambao wanadaiwa walishiriki kuiba mtoto huyo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Marco Chilya akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 10,…

Read More

KUWA MILIONEA NA MERIDIANBET SIKU YA LEO

IJUMAA ya leo imekuja kivingine ndani ya Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo. Ingia www. meridianbet.co.tz na ubeti hapa. Tukianza na ligi kuu ya Ujerumani BUNDESLIGA leo hii kutakuwa na mtanange mzito haswa kati ya Borussia Dortmund vs Bayer Leverkusen ambapo mechi za msimu uliopita…

Read More

Samia ateua majaji wanne Mahakama ya Rufani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa majaji wa Mahakama ya Rufani wanne. Pia ameteua wenyeviti wa bodi na kumpangia kituo cha kazi balozi mmoja. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Januari 10, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk Moses Kusiluka walioteuliwa Latifa Alhinai Mansoor anayekuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani….

Read More