Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 15
Habari

WAFANYABIASHARA WAKUBWA NCHINI WASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI

January 30, 2025 Admin

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Manzi Rwegasira (kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela (kulia), wakati wa

Read More
Habari

Wanafuzni waliofariki dunia kwa radi waagwa Geita

January 30, 2025 Admin

Bukombe. Mamia ya wakazi wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita wamejitokeza katika viwanja vya shule ya sekondari Businda kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi saba waliopoteza

Read More
Habari

CAN TANZANIA WATOA UFADHILI WA MASOMA WANAFUNZI 36

January 30, 2025 Admin

  FARIDA MANGUBE, MOROGORO  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Prof. Raphael Chibunda, amewataka wanafunzi waliopata ufadhili wa masomo kutoka taasisi

Read More
Habari

Sheikh Muhammad Idd afariki dunia

January 30, 2025 Admin

Sheikh maarufu nchini Sheikh Muhammad Idd Muhammad, amefariki dunia leo tarehe 30, Januari, 2025Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Mufti na Sheikh Mkuu wa

Read More
Habari

Mahakama Kuu yarejesha shauri la Dk Slaa Kisutu, yataka dhamana ipewe kipaumbele

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam imelirejesha shauri la mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi

Read More
Habari

Dk Biteko aongoza waombolezaji kuaga wanafunzi waliopigwa radi

January 30, 2025 Admin

Bukombe. Mamia ya wakazi wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita wamejitokeza katika viwanja vya shule ya sekondari Businda kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi saba waliopoteza

Read More
Habari

Uamuzi wa Marekani kuhusu ARV, Tanzania ijikomboe hivi…

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Licha ya uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya maendeleo nje ya nchi hiyo kuwa tishio kwa upatikanaji wa

Read More
Habari

MCC RAJAB: UWEKEZAJI WA RAIS SAMIA KATIKA SEKTA YA ELIMU TANGA UMEWAOKOA WATOTO KUFANYISHWA KAZI ZA NDANI

January 30, 2025 Admin

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rajab Abdurhaman amesema uwekezaji uliofanywa na Rais Dkt Samia Suluhu kwenye sekta ya elimu mkoani

Read More
Habari

RC Sendiga amuapisha Michael John Semindu kuwa mkuu wa wilaya ya Mbulu

January 30, 2025 Admin

Na Cathbert Kajuna – Kajunason Blog/Michuzi TV, Manyara. MKUU wa mkoa wa Manyara Mhe. Queen Cuthbert Sendiga (kwanza kushoto) leo Januari 29, 2025 amemuapisha Mkuu

Read More
Habari

TIMU YA MATI SUPER BRANDS LTD YACHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA BENKI YA NMB

January 30, 2025 Admin

Na Ferdinand Shayo, Manyara. Timu ya mpira wa miguu ya Wafanyakazi wa kiwanda cha kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited mkoani Manyara imecheza

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 14 15 16 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.