Kiduku akimbilia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wameongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji kwa kumnasa mshambuliaji Kelvin Sabato ‘Kiduku’ aliyewahi kuwika na Mtibwa Sugar, Singida Big Stars na Namungo. Usajili huu unakuwa wa kwanza kwa kocha mpya wa Prisons, Amani Josiah ambaye ana jukumu zito la kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika duru la pili la Ligi Kuu,…

Read More

SPURS KULIPA KISASI KWA LIVERPOOL?

MOJA ya mchezo mkali ambao itachezwa usiku wa leo ni pamoja na mchezo wa nusu fainali wa kombe la Carabao ambapo klabu ya Tottenham Hotspurs dhidi ya Liverpool, Mchezo ambao unaweza kukupa mkwanja wa kutosha usiku wa leo. Mchezo huo wa nusu fainali unaonekana kama unaweza kua wa kisasi kwani Spurs walipokea kipigo kizito kwenye…

Read More

Muya aibukia Geita Gold | Mwanaspoti

BAADA ya kutemwa na Fountain Gate, kocha Mohamed Muya ameibukia Geita Gold kuchukua mikoba ya Amani Josiah aliyetuaTanzania Prisons baada ya mwenyewe kuomba kuondoka ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship. Muya alitupiwa virago na Fountain Gate muda mfupi baada ya kichapo cha mabao 5-0 kutoka kwa Yanga katika mechi ya Ligi Kuu iliyopigwa…

Read More

Cheza kasino ya mtandaoni Sloti ya FoxPot

*Sloti ya Foxpot UNAWEZA ukawaza ni wapi hela zinakotoka kwa jinsi ambavyo zinatiririka, usiwaze hiyo ni sloti ya kijanja ya Foxpot inakuja na mnyama Mbweha kama zawadi ya Wild lakini pia kasino hii ya mtandaoni ina mistari 12 ya ushindi na kushinda ni rahisi sana. Usipoteze muda wako kuwaza sehemu ya kuingiza hela, swali lako…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO YA MLIPAKODI BORA JANUARY 23.2025

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kufanya maadhimisho ya siku ya shukrani na kutoa tuzo kwa Walipakodi bora kwa mwaka 2023/2024 tukio litakalofanyika Jijini Dar es Salaam January 23.2025. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Arusha Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano Bw. Richard Kayombo amesema mgeni rasmi katika maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa…

Read More

RAIS DKT. SAMIA AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI MISUFINI, BUMBWINI ZANZIBAR WAKATI WA SHAMRASHAMRA ZA KUELEKEA MIAKA 61 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar tarehe 08 Januari, 2025.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua vyumba vya Maabara mara baada ya kufungua Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar…

Read More