TAAMULI HURU: Si lazima kila ukweli usemwe hadharani

Japo makala zangu zinajikita zaidi kwenye mada za kikatiba, kisheria na haki, lakini mara mojamoja pia ninaingia kwenye mada za kisiasa, kiuchumi na kijamii, mada yangu ya leo, ni ya kuwafundisha Watanzania uzalendo, ingekuwa ni zamani ningewafundisha waandishi wa habari, lakini ujio wa mitandao ya kijamii, sasa kila mtu ni mwandishi. Uzalendo ninaoufundisha hapa ni…

Read More

Aliyemtukana Mungu aachiwa baada ya kifungo cha miaka minne

Dar es Salaam. Mwanaume asiyeamini kuwa Mungu yupo kutoka nchini Nigeria, Mubarak Bala (40) ameachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka minne gerezani kwa tuhuma za kumtukana Mungu kupitia Facebook mwaka 2020. Mubarak alikamatwa Aprili 28, 2020, kwa tuhuma za kukufuru dini na uchochezi kutokana na machapisho yake kwenye mitandao ya kijamii. Aprili 2022,…

Read More

Mambo matatu yanayomsubiri Rais mpya Ghana

Dar es Salaam. John Mahama ameapishwa jana Jumanne, Januari 7, 2025 kuwa Rais wa awamu ya tatu, huku taifa hilo lilikabiliwa na changamoto ya uchumi. Rais Muhama katika kampeni zake alijinadi kukabiliana na anguko la kiuchumi, rushwa na ukosefu wa ajira nchini humo. Kiongozi huyo mwenye miaka 65, amewahi kuwa Rais wa nchi hiyo kwa…

Read More

Trump aibua mapya sakata la Marekani kuitwaa Canada

Washington. Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump ni kama hajakata tamaa kuhusiana na lake kuifanya Canada kuwa sehemu ya Marekani baada ya kuchapisha picha ikionyesha ramani ya Canada ikionekana kuwa sehemu ya Marekani. Wakati Trump akichapisha ramani hiyo, mamlaka nchini Canada zimemjia juu na kumjibu kuwa lengo hilo halitotimia katika ulimwengu wa sasa. Trump amechapisha…

Read More