Mauzo ya Kutojali na Kutojali kwa Serikali Yanaumiza Telangana Weavers — Masuala ya Ulimwenguni

Kitambaa cha pamba cha Siddipet kikifumwa. Credit: Rina Mukherji/IPS na Rina Mukherji (siddipet, pochampally & koyalaguddem, india) Jumatano, Januari 08, 2025 Inter Press Service SIDDIPET, POCHAMPALLY & KOYALAGUDDEM, India, Jan 08 (IPS) – Jimbo la kusini mwa India la Telangana daima limekuwa nyumbani kwa pamba na hariri maridadi. Lakini katika miaka ya hivi karibuni, ukosefu…

Read More

Mvua yaacha kilio Kahama, makazi yaharibiwa

Kahama. Mvua iliyonyesha wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga imeleta athari katika baadhi ya maeneo, ikijaza mitaro ya majitaka na kufurika katika makazi ya watu. Wakizungumza na Mwananchi jana Januari 7, 2025, baadhi ya wananchi wa Kata ya Mulanga na Majengo wilayani hapa wamesema maji hayo yamewakosesha makazi, kuharibu mali na kuhatarisha afya zao. Kuruthumu Dafa…

Read More

TARURA RUVUMA YAKEMEA UTUPAJI TAKA KWENYE MIFEREJI NA UCHIMBAJI MCHANGA KWENYE MADARAJA

Wakala wa barabara za Mijini na vijijini Mkoa wa Ruvuma imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uharibifu wa miundombinu ya barabara, huku ikikemea vitendo vya utupaji taka kwenye mifereji na uchimbaji mchanga kwenye madaraja, kwani vitendo hivi vinarudisha nyuma juhudi za maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo,…

Read More

Simulizi hukumu kesi ya Sanga wa Chadema na wenzake – 3

Njombe. Katika simulizi ya kesi ya Jamhuri dhidi ya George Sanga na wenzake wawili iliyovuta hisia za wengi wakiwamo viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tulikuletea utetezi wa mshitakiwa wa kwanza katika kesi hii. Sanga na wenzake walishitakiwa kwa tuhuma za kumuua, Emmanuel Mlelwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tatizo la ajira litufunze kujiajiri

Siku moja Mtemi Kimweri aliota ndoto ya kutisha sana. Ndotoni aliona watu weupe kama karatasi wakiteremka mashuani, wakaingia kwenye ardhi yake na kuanza kuyapinga yote yaliyofanyika chini ya Mtemi. Walipita madarasani na kuiponda elimu yao, wakapita kwenye burudani na kuziponda ngoma zao. Hata kwenye nyumba za ibada walizikandia imani zao kwa kusema mambo yote waliyofuata…

Read More

Vita ya Mbowe, Lissu ina darasa pana kuliko siasa

Nimemwona Wakili Alute Mghwai, kaka wa Tundu Lissu, akisema anamtambua Freeman Mbowe kama mwanafamilia wao. Alute amezungumza kwa hisia kuhusu uhusika wa Mbowe katika uokoaji wa maisha ya Lissu, mdogo wake. Kila kitu chanzo chake ni Septemba 7, 2017. Watu wabaya kupita kiasi, walimshambulia Lissu kwa risasi zinazokadiriwa kufika 38. Walikusudia zile risasi zichukue uhai…

Read More