ATCL YATANGAZA NAFASI 59 ZA AJIRA KWA WATANZANIA

DAR ES SALAAM – Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetangaza nafasi 59 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ufanisi wa uendeshaji na kuendana na kasi ya upanuzi wa huduma zake. Nafasi hizi zinahusisha idara mbalimbali, ikiwemo Uendeshaji wa Ndege, Upangaji wa Ratiba za Wahudumu, Mauzo na Masoko,…

Read More

Mapendekezo, matumaini uhakika ARV | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya maendeleo nje ya nchi hiyo kuwa tishio kwa upatikanaji wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya Ukimwi (ARV) bila malipo, wadau wameonesha matumaini ya kuendelea kupatikana kwa dawa hizo. Matumaini ya wadau hao yanatokana na kile walichoeleza, si Marekani…

Read More

Ujio wa DeepSeek ya China watikisa soko Marekani

Dar es Salaam. Uvumbuzi wa hivi karibuni wa programu ya Kichina iitwayo DeepSeek katika uwanja wa akili bandia (AI) umetikisa sekta ya ubunifu duniani na kuathiri thamani ya kampuni nyingine zinazotoa huduma kama zake katika masoko ya hisa. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ukurasa wa Instagram wa Wealth, kampuni hiyo imefanikiwa kuunda aina ya AI…

Read More

Mkuu wa ujasusi Uganda afariki dunia

Kampala. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Usalama wa Ndani la Uganda (ISO), Brigedia Jenerali Charles Oluka amefariki katika hospitali moja Kampala-Entebbe jana Jumatano Januari 29, 2025. Naibu Katibu wa Habari katika Ofisi ya Rais nchini humo, Faruk Kirunda ameandika kwenye ukurasa wake wa X;  “Habari za kusikitisha zilizotufikia ni za kifo cha ghafla cha Brigedia…

Read More

Ndege, helkopta ya jeshi zagongana Marekani

Washington DC. Ndege ya abiria iliyokuwa ikitokea Wichita Mjini Kansas nchini Marekani imegongana na Helkopta ya Jeshi la nchi hiyo wakati ikitua kwenye Uwanja wa Reagan jijini Washington DC. Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Januari 30,2025 wakati ndege hiyo ya abiria ya Shirika la American Airlines yenye namba za usajili 5342 iliyokuwa…

Read More

Sababu kupungua kwa miamala ya simu, athari zake

Katika kipindi cha mwaka 2024 Sekta ya mawasiliano nchini ilishuhudia ukuaji katika nyanja tofauti, isipokuwa idadi ya miamala ya simu ambayo ni kiashiria cha namna watu walivyotuma na kupokea pesa kwa njia hiyo ya kidijitali. Kwa mujibu wa ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) ya kipindi cha robo mwaka kilichoishia Desemba, 2024, idadi ya…

Read More

Walibya watenga Sh 3B kwa Mzize, mchongo mzima upo hivi

SIKU chache baada ya kuripotiwa kwamba mabosi wa Yanga wamelegeza kamba kwa kuwa tayari kumuuza mshambuliaji nyota Clement Mzize, matajiri wa Klabu ya Al Ittihad ya Libya wameamua kufanya kweli kwa kumuwekea mezani ofa ya mabilioni ya shilingi. Awali mabosi wa Yanga, walizikaushia ofa kadhaa zilizotua kutaka kumnunua Mzize, lakini hivi karibuni mmoja wa vigogo…

Read More