Asia Anayeishi Bila Figo Miaka 20 Atamani Kuonana Na Rais Samia – Video – Global Publishers
Asia Mustapha ni binti ambaye ameishi kwa takribani miaka 20 bila figo zote mbili Asia Mustapha ni binti ambaye ameishi kwa takribani miaka 20 bila figo zote mbili, akitegemea huduma ya kusafisha damu kwa njia ya mashine (dialysis). Mwanzoni, huduma hiyo ilikuwa ya gharama kubwa, lakini serikali kupitia Wizara ya Afya iligharamia…