Fadlu alivyovunja mwiko wa miaka 22

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, ameweka rekodi ndani ya timu hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0, juzi dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia. Ushindi huo ni wa kwanza ugenini kwa kikosi hicho kuupata Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika kwenye michuano ya CAF. Bao la Simba lilifungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua dakika…

Read More

Sababu zilizowatoa gerezani Sanga na wenzake – 2

Njombe. Jana tulikuletea tuhuma za mauaji zilivyokuwa dhidi ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), George Sanga na wenzake wawili, walioshikiliwa mahabusu. Hii ni baada ya kukaa mahabusu siku 1,557 tangu walipokamatwa Septemba 26, 2020 kwa tuhuma za mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Mlelwa hadi walipoachiwa huru na Mahakama…

Read More

Usafiri Moshi bado changamoto | Mwananchi

Moshi. Mamia ya abiria wanaotaka kusafiri kutoka Moshi kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma ambao hawakukata tiketi mapema wanalazimika kusubiri kusafiri hadi Januari 9, mwaka huu kutokana na magari mengi kujaa. Hali hiyo inatokana na wingi wa abiria wanaorudi makwao, baada ya kumalizika kwa sherehe za mwisho wa mwaka….

Read More

KenGold yachafua hali ya hewa! watajwa Miquisone, Lwanga

KWA wanachoendelea kufanya KenGold kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ni kama ‘kuchafua hali ya hewa’. Hiyo inatokana na majembe inayoyashusha baada ya kutembeza fagio la nyota wanane ilioanza nao msimu huu ambao ni wa kwanza kushiriki Ligi Kuu. Hadi sasa timu hiyo imetangaza kuachana na Poul Materraz, Asanga Stalon, James Msuva, Steven Mganga,…

Read More