Dk Mwigulu: TRA msiwahurumie wakwepa kodi

Arusha. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha kila anayepaswa kulipa kodi analipa kwa mujibu wa sheria, bila kuonesha huruma kwa wakwepa kodi. Dk Mwigulu ametoa agizo hilo  leo Januari 6  2025 jijini Arusha, alipozungumza katika mkutano wa tathmini ya utendaji kazi kwa nusu mwaka wa 2024/25 wa TRA,…

Read More

Maofisa kozi ya kistratejia waweka kambi Kagera

Bukoba. Maofisa 10 waandamizi wa kijeshi, kiraia na vyombo vya ulinzi na usalama kutoka ndani ya nchi na nchi rafiki, ambao ni wanachuo wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), wamepiga kambi ya mafunzo kwa vitendo mkoani Kagera kwa siku 10. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Januari 6, 2025, Mkuu wa Chuo cha…

Read More

DKT NCHEMBA AIPONGEZA TRA KUIMARISHA MAPATO

Benny Mwaipaja, Arusha Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuongeza makusanyo ya kodi kutoka sh. trilioni 22.2 mwaka wa fedha 2021/22 hadi kufikia sh. tril. 27.6 mwaka wa fedha 2023/2024 na kuvunja rekodi ya kukusanya sh. trilioni 16.528 katika kipindi cha Nusu Mwaka wa Fedha…

Read More