Ushindi wa Lissu, Mbowe uko hapa

Dar es Salaam. Mizania ya ushindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema kwa mtazamo wa wataalamu wa siasa, inalingana kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ingawa wanasema kila mmoja ana sifa inayomtofautisha na mwenzake. Kwa mujibu wa wanazuoni, kuelekea uchaguzi huo, Mbowe anabebwa na ukongwe ndani ya chama na uwezo kiuchumi, huku Lissu akibebwa…

Read More

DKT. NCHEMBA AFUNGUA KIKAO KAZI TRA JIJINI ARUSHA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kushoto), Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda, wakiteta jambo baada ya mawaziri hao kumtembelea Ofisini kwake jijini Arusha, wakati walipofanya ziara ya kikazi mkoani humo, ambapo pia walipata fursa ya kushiriki mkutano maalum wa Kamati…

Read More

Kagera Sugar yamfuata Nkane | Mwanaspoti

UONGOZI wa Kagera Sugar upo katika mazungumzo ya kupata saini ya nyota wa Yanga, Denis Nkane kwa mkopo wa miezi sita ukiwa na imani anaweza kukisaidia kikosi cha timu hiyo. Taarifa kutoka Kagera Sugar zimelidokeza Mwanaspoti kuwa tayari wameshaiandikia barua Yanga kumuomba mchezaji huyo ambaye chini ya kocha Sead Ramovic hajapata nafasi ya kucheza mechi…

Read More

Ongezeko la uwekezaji sekta ya utalii lakuza uchumi Z’bar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema kuna ongezeko kubwa la wawekezaji katika sekta ya utalii, hatua inayochangia kukuza uchumi na kuleta maendeleo nchini. Amesema ongezeko hilo hasa katika uwekezaji wa hoteli, linachangia kuvutia idadi kubwa ya watalii wanaotembelea Zanzibar, hivyo kukuza sekta ya utalii. Dk Mwinyi amesema hayo leo Jumatatu Januari 6,…

Read More

RAIS MWINYI:ONGEZEKO LA WAWEKEZAJI NI UKUAJI WA UCHUMI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa kuna ongezeko kubwa la Wawekezaji katika Sekta ya Utalii hatua inayochangia ukuaji wa Uchumi na Maendeleo ya nchi. Amebainisha kuwa Ongezeko hilo la Wawekezaji pia linachangia Ongezeko la Watalii wanaotembelea nchini hali inayoiimarisha sekta ya Utalii. Rais Dk. Mwinyi ameyasema…

Read More

Rooney wa Kenya kutua Singida Black Stars

WAKATI Singida Black Stars ikirejea mazoezini chini ya kocha mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Ufaransa na Algeria, mabosi wa timu hiyo wako katika hatua za mwisho za kumnasa beki wa kulia wa Gor Mahia ya Kenya, Rooney Onyango. Nyota huyo aliyejiunga na GorMahia 2022 akitokea Wazito FC anatarajia kujiunga na Singida Black Stars katika…

Read More