Wanafunzi 86 St. Anne Marie Academy wachaguliwa shule za vipaji maalum
WANAFUNZI 86 kati ya 156 wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam waliohitimu darasa la saba wamechaguliwa kujiunga na shule za vipaji maalum. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mkuu wa shule hiyo, Komredi Gladius Ndyetabula alisema jana kuwa wanafunzi wote wa shule…