Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 171
Habari

Wanafunzi 86 St. Anne Marie Academy wachaguliwa shule za vipaji maalum

January 6, 2025 Admin

  WANAFUNZI 86 kati ya 156 wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam waliohitimu darasa la

Read More
Kimataifa

Je, Trump Atachukua Fursa ya Mafanikio ya Israel na Palestina? – Masuala ya Ulimwenguni

January 6, 2025 Admin

Ukuta wa Kutenganisha katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na nyuma yake kuna makazi ya Waisraeli. Credit: Ryan Rodrick Beiler Maoni na Alon Ben-Meir

Read More
Habari

Waganga wa jadi wapigwa marufuku kung’ang’ania wagonjwa

January 6, 2025 Admin

Shinyanga.  Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Dk Faustine Mulyutu, amewataka waganga wa jadi wakiona wagonjwa wenye dalili za maambukizi ya malaria

Read More
Habari

Popote, Kila Mtu ni Mshindi! Wateja wa Vodacom Mwanza Wajaziwa Mafuta Bure

January 6, 2025 Admin

  Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Omari Ramadhan jijini Mwanza. Mafuta

Read More
Habari

Rais Mwinyi aweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la taaluma na utawala taasisi ya Sayansi za bahari Zanzibar *

January 6, 2025 Admin

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi ameweka jiwe la msingi la jengo la Taaluma na Utawala awamu ya pili

Read More
Habari

Kipindupindu, ukosefu wa vyoo vyafunga mgodi wa dhahabu

January 6, 2025 Admin

Katavi. Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf ameagiza kufungwa kwa shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu katika migodi ya Lumuka iliyopo Kijiji cha Dirifu kutokana na

Read More
Habari

JUKWAA LA TATU LA WAKUU WA TAASISI ZA SMT/SMZ LAFUNGULIWA ZANZIBAR

January 6, 2025 Admin

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amesema Kongamano la Jukwaa la Wakuu wa Taasisi za SMT na SMZ lina lengo la

Read More
Habari

Walimu wa sayansi kurudishwa darasani

January 6, 2025 Admin

Tarime. Serikali inatarajia kutoa mafunzo kwa walimu zaidi ya 9,000 wa masomo ya sayansi, hisabati na Tekonolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa shule za

Read More
Habari

Mwenyekiti UWT Njombe arudisha tabasamu kwa mlemavu wa viungo wilayani Wanging’ombe

January 6, 2025 Admin

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) mkoa wa Njombe Dkt.Scholastika Kevela ameitumia sikukuu ya mwaka mpya kurudisha tabasamu usoni

Read More
Habari

Ujerumani kuwaondolea kinga wahamiaji kutoka Syria, yataka warudi kwao

January 6, 2025 Admin

Ujerumani. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani, Nancy Faeser ametangaza kuwaondolea kinga ya uhamiaji raia wa Syria wanaoishi na kufanya shughuli mbalimbali nchini humo.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 170 171 172 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.