Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 175
Michezo

Simba yaongeza Straika | Mwanaspoti

January 5, 2025 Admin

BAADA ya Simba Queens kumtambulisha golikipa, Wilfrida Seda kutoka Get Program, timu hiyo imemvuta tena straika Janet Mpeni kutoka timu hiyo. Kama usajili huo utakamilika,

Read More
Habari

SHIKA KITITA CHA MAANA LEO

January 5, 2025 Admin

JUMAPILI ya kuondoka kinara na wakali wa ubashiri Tanzania umefika ambapo Meridianbet inakupa nafasi ya kuibuka bingwa leo. Wababe wengi kuchuana huku wewe ukiondoka na

Read More
Michezo

Simba yaandika historia ya kibabe Tunisia

January 5, 2025 Admin

SIMBA imefanya unyama mwingi sana baada ya usiku wa leo kupata ushindi wa kwanza wa kihistoria katika ardhi ya Waarabu kwa kuichapa CS Sfaxien ya

Read More
Habari

Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano wa Dharura wa Utatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali

January 5, 2025 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika

Read More
Michezo

Uchaguzi Chadema: Ni vita ya wakubwa

January 5, 2025 Admin

Mwanza/Dar. Wakati dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania uongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) likifungwa, mchuano unasubiriwa baina ya Freeman Mbowe

Read More
Habari

MWENYEKITI COREFA AJIFUNGA MKANDA KUFUFUA SOKA LA UFUKWENI PWANI

January 5, 2025 Admin

Chama cha soko Mkoa wa Pwani (COREFA) katika kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza sekta ya

Read More
Habari

Usichokijua matokeo ya la nne, kidato cha pili

January 5, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) likitangaza kuendelea kuimarika kwa ufaulu wa matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili,

Read More
Habari

RAIS SAMIA AONGOZA MKUTANO WA DHARURA WA UTATU WA WAKUU WA NCHI YA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA SADC

January 5, 2025 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika

Read More
Habari

UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI WAFIKIA ASILIMIA 99.9

January 5, 2025 Admin

Vitongoji 33,657 vimefikiwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati

Read More
Habari

Mashuhuda wasimulia Mutajura ‘alivyotekwa’ Dar

January 5, 2025 Admin

Dar es Salaam. Matukio ya watu kudaiwa kutekwa yameendelea kuripotiwa nchini, baada ya jana kudaiwa kutekwa kwa mkazi wa Dar es Salaam, Dastan Mutajura eneo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 174 175 176 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.