Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 18
Habari

Serikali kununua boti ya uokozi ziwa lililoua wavuvi 10

January 29, 2025 Admin

Rukwa. Serikali inakusudia kununua boti maalumu ya kisasa kwa ajili ya shughuli za uokoaji wa wavuvi katika ukanda wa Ziwa Rukwa, hususan pale dhoruba kali

Read More
Habari

Sh5.38 trilioni kupeleka SGR Burundi, ujenzi kuanza punde

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na Burundi zimeingia makubaliano ya kuanza ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Uvinza hadi Musongati nchini Burundi (Km282) huku

Read More
Habari

Wasira: Uzee siyo hoja, bado nina uwezo

January 29, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi kimesema hakitayumbishwa na hoja dhaifu za upinzani kuhusu maendeleo huku ikiutaka upinzani kujipanga vema kuhimili kishindo chake. Aidha, Makamu

Read More
Habari

Wasira: Tuko tayari kwa mazungumzo, si kuamrishwa

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kipo tayari kwa mazungumzo wakati wowote lakini hakiko tayari

Read More
Habari

Mapendekezo, matumaini kwa ARV baada ya katazo la Trump

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Licha ya uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya maendeleo nje ya nchi hiyo kuwa tishio kwa upatikanaji wa

Read More
Habari

COOP BANK YAKUZA KITABU CHAKE CHA MIKOPO KUTOKA MIL 320 HADI KUFIKIA BIL 15, MWAKA 2024.

January 29, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Ushirika Tanzania (COOP BANK) Godfrey Ng’urah amebainisha asilimia za wawekezaji mkubwa wa kimkakati wa Benki

Read More
Habari

Sababu Mbowe kutokwenda kumkabidhi Lissu ofisi

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, ameeleza sababu ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, kutofika kumkabidhi ofisi mwenyekiti mpya Tundu

Read More
Habari

Kwa nini Mbowe hakuja kumkabidhi Lissu ofisi?

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, ameeleza sababu ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, kutofika kumkabidhi ofisi mwenyekiti mpya Tundu

Read More
Habari

Soko la Kariakoo kuanza Februari, wafanyabiashara watoa angalizo

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Hatimaye Soko la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam lililokuwa katika ukarabati kwa zaidi ya miaka mitatu linatarajia kuanza kufanya kazi

Read More
Habari

Chongolo atoa maagizo kwa DC mpya Mbozi

January 29, 2025 Admin

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, amemuagiza mkuu mpya wa wilaya ya Mbozi, Hamad Mbega kusimamia ipasavyo masuala ya mimba za utotoni, udumavu,

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 17 18 19 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.