Sh5.38 trilioni kupeleka SGR Burundi, ujenzi kuanza punde

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na Burundi zimeingia makubaliano ya kuanza ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Uvinza hadi Musongati nchini Burundi (Km282) huku mradi huo ukitajwa kufungua uchumi katika maeneo makuu manne. Mradi huo uliogharimu Sh5.38 trilioni unategemewa kutekelezwa kwa miezi 72 (miaka 6) na unatajwa kufungua uchumi katika sekta ya umeme, madini,mawasiliano…

Read More

Wasira: Uzee siyo hoja, bado nina uwezo

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi kimesema hakitayumbishwa na hoja dhaifu za upinzani kuhusu maendeleo huku ikiutaka upinzani kujipanga vema kuhimili kishindo chake. Aidha, Makamu Mwenyekiti wa CCM – Bara, Stephen Wasira ametoa angalizo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaotaka kutumia hoja ya umri wake kama mtaji wa kisiasa na kuwataka…

Read More

Wasira: Tuko tayari kwa mazungumzo, si kuamrishwa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kipo tayari kwa mazungumzo wakati wowote lakini hakiko tayari kuamrishwa. Mbali na hilo, mwanasiasa huyo mkongwe, amemshauri Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu kutumia 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kuifanyia mabadiliko Chadema. Wasira amesema…

Read More

Sababu Mbowe kutokwenda kumkabidhi Lissu ofisi

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, ameeleza sababu ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, kutofika kumkabidhi ofisi mwenyekiti mpya Tundu Lissu, akisema haikuwa lazima. Lissu, aliyeshinda katika uchaguzi wa chama hicho Januari 22, alifika ofisi za makao makuu Mikocheni, jijini Dar es Salaam leo Jumatano, Januari 29, 2025 saa 5:00…

Read More

Kwa nini Mbowe hakuja kumkabidhi Lissu ofisi?

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, ameeleza sababu ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, kutofika kumkabidhi ofisi mwenyekiti mpya Tundu Lissu, akisema haikuwa lazima. Lissu, aliyeshinda katika uchaguzi wa chama hicho Januari 22, alifika ofisi za makao makuu Mikocheni, jijini Dar es Salaam leo Jumatano, Januari 29, 2025 saa 5:00…

Read More

Chongolo atoa maagizo kwa DC mpya Mbozi

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, amemuagiza mkuu mpya wa wilaya ya Mbozi, Hamad Mbega kusimamia ipasavyo masuala ya mimba za utotoni, udumavu, na mdondoko wa ufaulu ili kuondoa changamoto inayolikabili kundi hilo, wakiwepo watoto. Mbega, ameapishwa leo Jumatano, Januari 29, 2025, katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa…

Read More