Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye Tanzania
Month: January 2025

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, likionya vitendo vya udanganyifu na kuahidi

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema, yaliyofanyika tarehe 04 Januari,

Butiama. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ameongoza mamia ya watu katika mazishi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Frederick Werema katika mazishi

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amewataka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kuhakikisha unatoa kipaumbele kwa vijana wazawa katika ujenzi wa miradi ya barabara inayoendelea nchini

KIKOSI cha Yanga kikiupiga mpira mwingi kwa mtindo wao wa ‘Gusa Achia Twenda Kwao’kimefufua tumaini la kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa

Arusha. Mahakama ya Rufani imempunguzia adhabu Amedeus Kavishe kutoka malipo ya faini ya Sh1.077 bilioni au kifungo cha miaka 20 jela aliyohukumiwa baada ya kutiwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika tabasamu wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Zanzibar

YANGA ikiwa inapambana uwanjani leo jioni ikiizamisha TP Mazembe kwea mabao 3-1, jukwaani akaonekana mshambuliaji mpya, Jonathan Ikangalombo, ambaye Mwanaspoti liliwaripotia kwamba yupo hatua ya

Mjumbe wa Halmshauri kuu ya chama cha Mapinduzi taifa MNEC Richard Kasesela amesema kuwa mwaka wa 2025 utakuwa mwaka wa kutenda haki kwa kila jambo