Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 182
Habari

DKT. SHELUKINDO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA MAKATIBU WAKUU WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA CHA SADC

January 4, 2025 Admin

Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye Tanzania

Read More
Habari

Walimu walivyobainika kwa udanganyifu mtihani darasa la nne, kidato cha pili

January 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, likionya vitendo vya udanganyifu na kuahidi

Read More
Habari

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AMLILIA JAJI WEREMA

January 4, 2025 Admin

  Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema, yaliyofanyika tarehe 04 Januari,

Read More
Habari

Jaji Mkuu aongoza maziko ya Werema, azungumzia mchango wake

January 4, 2025 Admin

Butiama. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ameongoza mamia ya watu katika mazishi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Frederick Werema katika mazishi

Read More
Habari

ULEGA ATAKA WAZAWA WAPEWE KIPAUMBELE UJENZI WA BARABARA

January 4, 2025 Admin

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amewataka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kuhakikisha unatoa kipaumbele kwa vijana wazawa katika ujenzi wa miradi ya barabara inayoendelea nchini

Read More
Michezo

Gusa Achia yafufua tumaini la Yanga kwenda robo fainali CAF

January 4, 2025 Admin

KIKOSI cha Yanga kikiupiga mpira mwingi kwa mtindo wao wa ‘Gusa Achia Twenda Kwao’kimefufua tumaini la kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa

Read More
Habari

Rufaa yawapa wanne ahueni ya adhabu

January 4, 2025 Admin

Arusha. Mahakama ya Rufani imempunguzia adhabu Amedeus Kavishe kutoka malipo ya faini ya Sh1.077 bilioni au kifungo cha miaka 20 jela aliyohukumiwa baada ya kutiwa

Read More
Habari

RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI YA KWANZA TUMBATU IKIWA NI SHAMRASHAMRA ZA MIAKA 61 YA MAPINDUZI

January 4, 2025 Admin

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika tabasamu wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Zanzibar

Read More
Michezo

Yanga yamshusha staa mpya Kwa Mkapa

January 4, 2025 Admin

YANGA ikiwa inapambana uwanjani leo jioni ikiizamisha TP Mazembe kwea mabao 3-1, jukwaani akaonekana mshambuliaji mpya, Jonathan Ikangalombo, ambaye Mwanaspoti liliwaripotia kwamba yupo hatua ya

Read More
Habari

MNEC KASESELA,MWAKA 2025 NI MWAKA WA KUTENDA HAKI,UTU NA UPENDO

January 4, 2025 Admin

Mjumbe wa Halmshauri kuu ya chama cha Mapinduzi taifa MNEC Richard Kasesela amesema kuwa mwaka wa 2025 utakuwa mwaka wa kutenda haki kwa kila jambo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 181 182 183 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.