Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 188
Habari

Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 1,500 za bangi

January 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakazi watatu jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya

Read More
Habari

Watoto watatu wafa maji kwenye lambo

January 3, 2025 Admin

Siha. Watoto tatu wa familia moja wamefariki dunia katika Kijijii cha Ngaratati, Kata ya Makiwaru wilayani Siha walipokuwa wakiogelea kwenye lambo lilijengwa na Serikali kwa

Read More
Michezo

Sharifa, Glory Tausi warejesha fomu Bawacha

January 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku 13 kuelekea uchaguzi wa viongozi wa mabaraza ya Chadema, baadhi ya wagombea wameanza kurejesha fomu. Wagombea waliorudisha fomu ni

Read More
Michezo

Hizi hapa shabaha mbili za Ramovic kwa TP Mazembe

January 3, 2025 Admin

Yanga itaingia rasmi kambini Avic Town leo Ijumaa kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya kuikaribisha TP Mazembe katika pambano la raundi ya nne ya Ligi ya Mabingwa

Read More
Habari

Malawi yakabiliwa na mgogoro wa wakimbizi wanaotoka Msumbiji – DW – 03.01.2025

January 3, 2025 Admin

Maelfu ya watu wameikimbia Msumbiji na kuelekea nchi jirani ya Malawi, wakitafuta hifadhi kutokana na machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu. Hii ni kufuatia hatua

Read More
Habari

Wawili wafariki, 18 wajeruhiwa ajali ya ndege

January 3, 2025 Admin

California. Watu wawili wamefariki dunia huku wengine 18 wakijeruhiwa baada ya ndege ndogo aina ya Van’s RV-10 kugonga ghorofa la kitega uchumi jijini California nchini

Read More
Habari

Mtoto adaiwa kujinyonga kisa kukosa nguo ya Krismasi

January 3, 2025 Admin

Mpanda. Christina Kalilo (8), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Uruwila, wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi, anadaiwa kujiua kwa kujinyonga kwa kutumia

Read More
Habari

Mwinyi amjibu Othman tuhuma za ufisadi, deni la Taifa

January 3, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amejibu tuhuma zilizotolewa na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman kuhusu ufisadi na ongezeko la deni la

Read More
Habari

MOROGORO YATAJWA KANDA MAALUM UFUGAJI WA KISASA

January 3, 2025 Admin

Mkoa wa Morogoro watajwa kuwa Kanda Maalum ya ufugaji wenye tija kwa kuwa na ng’ombe wa kisasa na mashamba ya malisho kwa ajili ya mifugo.

Read More
Habari

Walinzi wa Rais Yoon wawazuwia wachunguzi kumkamata – DW – 03.01.2025

January 3, 2025 Admin

Tukio hilo ni la karibuni katika mgogoro wa kisiasa ambao umezikumba siasa za Korea Kusini na kushuhudia wakuu wawili wa nchi wakiondolewa madarakani katika kipindi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 187 188 189 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.