Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 19
Habari

Mambo magumu DRC, viongozi wahaha kutuliza mapigano

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mapigano yanayondelea Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) yameendelea kusababisha mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwamo ubakaji wa raia na

Read More
Habari

Wananchi Wafurahia Maendeleo ya Barabara ya Wenda-Mgama Kufikia Asilimia 90

January 29, 2025 Admin

Wananchi wa Kata ya Mgama, wilaya ya Iringa, wameeleza furaha yao kutokana na maendeleo makubwa ya ujenzi wa barabara ya Wenda-Mgama, ambayo kwa sasa imefikia

Read More
Michezo

Waliopewa uraia Singida BS kujua hatma yao kesho, TFF wafunguka

January 29, 2025 Admin

HATMA ya nyota watatu wa Singida Black Stars wanaodaiwa kubadili uraia ili kuwa Watanzania Josephat Arthur Bada, Emmanuel Keyekeh na Mohammed Domaro Camara inatarajiwa kufahamika

Read More
Michezo

Gomez aja kivingine Fountain Gate

January 29, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI nyota na kinara wa mabao wa Fountain Gate (FOG), Selemani Mwalimu ‘Gomez’ ameanza mazoezi baada ya kuwa nje tangu Desemba 29, mwaka jana kutokana

Read More
Michezo

Simon Msuva bado aikumbuka Morocco

January 29, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Talaba ya Irak, Simon Msuva amesema bado anaikumbuka Morocco tangu aanze kucheza soka la kulipwa nje msimu bora

Read More
Habari

Wananchi zaidi ya Milioni 8 kupata umeme wa uhakika ifikapo 2030.

January 29, 2025 Admin

  Na Jane Edward, Arusha  Naibu Mkurugenzi Mtendaji uzalishaji umeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Mhandisi,Costa Rubagumiya amesema Tanzania inampango wa kuwapatia wananchi milioni 8.

Read More
Habari

Marekani Yaitaka Rwanda Kujiondoa Goma – Global Publishers

January 29, 2025 Admin

Last updated Jan 29, 2025   Rais wa Rwanda Paul Kagame   Marekani imelitolewa wito Baraza la Usalama la Umoja wa

Read More
Michezo

Waliopewa uraia Sindida BS kujua hatma yao kesho, TFF wafunguka

January 29, 2025 Admin

HATMA ya nyota watatu wa Singida Black Stars wanaodaiwa kubadili uraia ili kuwa Watanzania Josephat Arthur Bada, Emmanuel Keyekeh na Mohammed Domaro Camara inatarajiwa kufahamika

Read More
Habari

Chadema kujifungia kutafakari ‘No Reforms No Election’

January 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamesema wanakwenda kujifungia kwa wiki moja kupanga mikakati ya kushinikiza mabadiliko ya

Read More
Habari

WIZARA YA ELIMU KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUBORESHA UFAULU MASOMO YA SAYANSI, HISABATI NA TEHAMA

January 29, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu, ARUSHA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inachukua hatua madhubuti kuboresha ufaulu wa masomo ya Sayansi, Hisabati, na Teknolojia ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 18 19 20 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.