Mambo magumu DRC, viongozi wahaha kutuliza mapigano

Dar es Salaam. Mapigano yanayondelea Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) yameendelea kusababisha mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwamo ubakaji wa raia na vurugu kwenye balozi sita nchini humo. Mapigano hayo yanayohusisha majeshi ya Serikali ya DRC dhidi ya kikundi cha waasi cha M23 ambacho kimetengaza kuuteka mji wa Goma ikiwamo kuushika uwanja…

Read More

Waliopewa uraia Singida BS kujua hatma yao kesho, TFF wafunguka

HATMA ya nyota watatu wa Singida Black Stars wanaodaiwa kubadili uraia ili kuwa Watanzania Josephat Arthur Bada, Emmanuel Keyekeh na Mohammed Domaro Camara inatarajiwa kufahamika baada ya kikao cha Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayokutana kesho kusikiliza mashauri mbalimbali likiwamo la wachezaji hao. Wachezaji hao wamekuwa gumzo kwa…

Read More

Gomez aja kivingine Fountain Gate

MSHAMBULIAJI nyota na kinara wa mabao wa Fountain Gate (FOG), Selemani Mwalimu ‘Gomez’ ameanza mazoezi baada ya kuwa nje tangu Desemba 29, mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya nyama za paja akikosa michezo sita ya Ligi Kuu Bara. Nyota huyo mwenye mabao sita Ligi Kuu Bara sawa na Clement Mzize wa Yanga, akipitwa…

Read More

Simon Msuva bado aikumbuka Morocco

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Talaba ya Irak, Simon Msuva amesema bado anaikumbuka Morocco tangu aanze kucheza soka la kulipwa nje msimu bora kwake uliomfungulia milango ni 2017/18 alipoitumikia Difaa El Jadida.   Msimu huo Msuva alijiunga na Difaa El Jadid akitokea Yanga ambako alifanya vizuri 2016/17 akimaliza kinara wa mabao 14 sawa na…

Read More

Wananchi zaidi ya Milioni 8 kupata umeme wa uhakika ifikapo 2030.

  Na Jane Edward, Arusha  Naibu Mkurugenzi Mtendaji uzalishaji umeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Mhandisi,Costa Rubagumiya amesema Tanzania inampango wa kuwapatia wananchi milioni 8. 3 umeme kufikia mwaka 2030. Costa ameyasema hayo leo wakati wa Mkutano wa nishati wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki (EAECS) uliofanyika jijini Arusha. Amesema kuwa  mkutano huo unalengo…

Read More

Waliopewa uraia Sindida BS kujua hatma yao kesho, TFF wafunguka

HATMA ya nyota watatu wa Singida Black Stars wanaodaiwa kubadili uraia ili kuwa Watanzania Josephat Arthur Bada, Emmanuel Keyekeh na Mohammed Domaro Camara inatarajiwa kufahamika baada ya kikao cha Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayokutana kesho kusikiliza mashauri mbalimbali likiwamo la wachezaji hao. Wachezaji hao wamekuwa gumzo kwa…

Read More

Chadema kujifungia kutafakari ‘No Reforms No Election’

Dar es Salaam. Viongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamesema wanakwenda kujifungia kwa wiki moja kupanga mikakati ya kushinikiza mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi kabla ya kuushiriki. Oktoba mwaka huu, Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wa kuwachagua, madiwani, wabunge na Rais. Akizungumza leo Jumatano, Januari 29, 2025 baada ya kuripoti…

Read More

WIZARA YA ELIMU KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUBORESHA UFAULU MASOMO YA SAYANSI, HISABATI NA TEHAMA

Na Mwandishi Wetu, ARUSHA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inachukua hatua madhubuti kuboresha ufaulu wa masomo ya Sayansi, Hisabati, na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Wizara imesema kuwa walimu wa masomo hayo wanapatiwa mafunzo ya mara kwa mara kwa lengo la kuboresha ufanisi katika ufundishaji na ujifunzaji. Akizungumza jijini Arusha…

Read More