IAA yajipanga kuwa uwanja wa kutumika Afcon 2027

*Prof Sedoyeka aweka mikakati ya kuibua vipaji vya wanafunzi Na Chalila Kibuda Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kimeweka mikakati ya kuendeleza michezo nchini kwa kuwa uwanja wa kisasa katika Kampas ya Babati. Hayo aliyasema Mkuu wa Chuo hicho Profesa Eliamani Sedoyeka wakati akizungumza waandishi wa Habari katika Kampas Mpya ya Chuo hicho Babati mkoani Manyara….

Read More

Siri mafundi simu kuhusishwa katika uhalifu

Dar es Salaam. Kutokana na maendeleo ya teknolojia, simu za mkononi sasa ni zaidi ya kifaa cha mawasiliano. Simu zimekuwa zikitumiwa kama chanzo cha kujipatia kipato katika biashara na kuhifadhi taarifa binafsi, zikiwamo za siri. Mbali ya hayo, zinachangia katika mnyororo wa ajira wakiwamo za wauzaji simu, vifaa vyake na mafundi wa kuzifanyia matengenezo zinapopata…

Read More

Namba 20 zinakupa ushindi kasino ya Extra Bingo!!

Hapa tena Meridianbet kasino ya mtandaoni tunakuletea mchezo wa namba wenye bonasi kubwa na rahisi kucheza, mchezo wa keno ni moja ya michezo pendwa inayopatikana Meridianbet. Extra Bingo ni mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa na gwiji wa michezo ya kasino ya mtandaoni Wazdan. Je, umechoka kusubiri mpaka kipindi fulani ili kupata droo inayofuata? Kuanzia…

Read More

Usambaaji picha za ngono janga la kitaifa

Moshi. Ni kukua kwa teknolojia ya mawasiliano ya habari, ulimbukeni au malezi mabaya? Ni maswali yanayoumiza wengi kwa sasa, baada ya kuibuka wimbi la usambaaji picha za ngono, video na za mnato, kupitia mitandao ya kijamii. Video hizo baadhi wanatajwa kujirekodi au kurekodiwa kwa hiyari na kuzisambaza wakiwamo wahitimu wa vyuo. Kutokana na wimbi hilo…

Read More