TPSF yabainisha mambo matano ya kuangazia mwaka 2025

Dar es Salaam. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limeainisha mambo matano makuu litakayoyasimamia mwaka 2025 ili kuendelea kuongeza mchango wake katika uchumi wa nchi. Mambo hayo ni: kuendelea kusukuma ajenda ya ukuaji jumuishi ndani ya sekta binafsi, kuimarisha sera zinazotabirika, kuimarisha mashirika ya sekta binafsi, kukuza mazingira rafiki ya biashara, na kuhamasisha mazungumzo kati…

Read More

'Majukwaa ya kidijitali yanakuza masimulizi ya Israeli huku yakinyamazisha sauti za Wapalestina' — Global Issues

na CIVICUS Alhamisi, Januari 02, 2025 Inter Press Service Jan 02 (IPS) – CIVICUS inajadili changamoto ambazo jumuiya za kiraia za Palestina zinakabiliana nazo katika kupinga ukandamizaji wa kidijitali na kutetea haki na mwanasheria na mtafiti wa Kipalestina Dima Samaro. Kama mkurugenzi wa Skyline International kwa Haki za BinadamuDima inatetea uhuru wa kidijitali na haki…

Read More

Kilio cha Januari, vifaa vya shule bei juu

Dar/Mikoani. Januari ni msimu wa pilikapilika za maandalizi ya shule. Wazazi na walezi wanahangaika huku na kule kusaka mahitaji, huku bei za bidhaa zikiwa tayari zimepaa. Kwa wafanyabiashara ni msimu wa kutengeneza faida kupitia vifaa vya shule kutokana na bei kuongezeka kutokana na ongezeko la mahitaji.  Baadhi ya wazazi na walezi, huu ni msimu wa…

Read More

Changamoto za kisiasa zinazoisubiri Ujerumani mwaka 2025 – DW – 02.01.2025

Kudhibiti uhamiaji, kuzuia mashambulizi ya kimtandao, kulinda utawala wa sheria na taasisi za demokrasia ni mambo makuu matatu ambayo yumkini yatachukua muda mwingi katika siasa za Ujerumani mwaka 2025. Mamlaka zitakabiliwa na kizungumkuti katika kupambana na uhamiaji holela, wakati huo huo zikiendesha sera ya kuwavutia wafanyakazi wa kigeni wenye ujuzi. Changamoto nyingine itakuwa katika kuimarisha…

Read More

Kambi za Mbowe, Lissu zategeana umakamu mwenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Wakati Tundu Lissu na Freeman Mbowe wanachuana kuwania uenyekiti wa Chadema, kinyang’anyiro kingine kinatarajiwa kushuhudiwa kwenye nafasi ya umakamu mwenyekiti-bara ambayo kambi hizo mbili bado zinategeana. Uliacha Ezekiel Wenje ambaye ametangaza nia hiyo, wengine wanaotajwa ni John Heche na Godbless Lema. Mbowe anayetetea nafasi hiyo aliyeiongoza kwa miaka 20, ataumana vikali na…

Read More

‘Dk Manguruwe’ kuhojiwa polisi siku tatu mfululizo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu, imemruhusu Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu Dk Manguruwe anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, kwenda kuhojiwa polisi kwa siku tatu mfululizo. Mkondya na mwenzake, Mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59), wanakabiliwa na mashtaka 28 yakiweno ya kuendesha biashara…

Read More