Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 196
Michezo

Kabamba, Duah watimkia KenGold | Mwanaspoti

January 2, 2025 Admin

MABOSI wa KenGold wako katika harakati za kukisuka kikosi hicho ili kisishuke daraja na tayari wamemali-zana na aliyekuwa nyota wa Yanga Mzambia, Erick Kabamba na

Read More
Habari

Polisi yawafungia leseni madereva 30 kwa ulevi Dar

January 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafungia leseni madereva 30 kati ya 179 waliokamatwa katika kipindi cha sikukuu za

Read More
Michezo

Ndunguru: Gusa achia, itaiua Mazembe mapema tu!

January 2, 2025 Admin

KIKOSI cha Yanga kesho kitapiga tizi la mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, kabla ya keshokutwa kurejea kambini Avic Town kujiandaa na pambano la Kundi A

Read More
Michezo

Kibarua cha Josiah Tanzania Prisons

January 2, 2025 Admin

PAMOJA na heshima aliyopata kutoka Championship hadi Ligi Kuu, kocha mpya wa Tanzania Prisons, Aman Josiah anakabiliwa na mtihani mzito kutoboa. Josiah anatarajia kuinoa Prisons

Read More
Michezo

Mbappe wa Azam apelekwa KMC

January 2, 2025 Admin

UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Azam FC, Cheickna Diakite ‘Mbappe’ kwa mkopo wa miezi sita, baada ya nyota

Read More
Habari

Danadana zagubika ununuzi mabasi ya mwendo kasi

January 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Danadana zimegubika ununuzi wa mabasi katika Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT) chini ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) katika awamu

Read More
Habari

Haya hapa maajabu ya Nottingham Forest

January 2, 2025 Admin

  Timu ya Nottingham Forest nchini Uingereza imeendelea kufanya vyema kabisa msimu huu chini ya kocha mkuu Nuno Espirito Santo kwa kufanya historia mpya kwa

Read More
Michezo

KMC yamng’oa Chikola Tabora United

January 2, 2025 Admin

BAADA ya kiungo mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Elias ‘Mao’ kutoonekana kikosini uongozi wa timu hiyo umemalizana na Offen Chikola kwa ajili ya kuongeza nguvu kikosini

Read More
Habari

Waliofariki kwa kugongwa gari Marekani wafikia 15

January 2, 2025 Admin

Marekani. Idadi ya vifo vilivyotoka na kugongwa na gari aina ya Pickup eneo la Bourbon, New Orleans nchini Marekani imefikia 15 baada ya majeruhi watano

Read More
Michezo

Dabo amvuta Bangala AS Vita

January 2, 2025 Admin

SIKU kadhaa tangu amalizane na Azam FC iliyoamua kusitisha mkataba aliokuwa nao, kiungo anayemudu kucheza pia kama beki wa kati, Yannick Bangala amejiunga na AS

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 195 196 197 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.