Last updated Jan 31, 2025 Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro unaoendelea kati
Month: January 2025

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imehitimisha rasmi kampeni yake ya ’Shinda mechi zako Kinamna yako’ kwa kukabidhi zawadi ya gari ya pili aina BMW

Geita. “Hakuna zaidi ya uzembe, kilichofanyika ni uzembe.” Hii ni kauli ya Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Geita, Azza Mtaita aliyoitoa akielezea mkwamo wa ujenzi

Dar es Salaam. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwasisitiza watumishi wake wakusanya

Mwanza. Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la wanachama wa jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki

Dodoma. Mitambo minane kati ya tisa inayojengwa katika Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere, imekamilika na mmoja uliobakia utakamilika mwishoni mwa mwezi huu. Kauli

Na Mwandishi Wetu, Bunda MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameagiza vikao vya Chama kuzungumza mambo yanayowahusu wananchi kwa lengo

WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kupitia Tume ya TEHAMA nchini kwa kushirikiana na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na kampuni ya watu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika

Arusha. Wafanyabiashara ndogondogo, wakiwemo wauza mbogamboga wa Soko la Samunge, wamefunga barabara ya Fire, wakidai kunyanyaswa na mgambo na kutaka kusikilizwa kero zao. Wafanyabiashara hao pia