
Mgogoro Wa DRC, Rwanda Ni Tatizo Kubwa – Global Publishers
Last updated Jan 31, 2025 Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro unaoendelea kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni tatizo kubwa. Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu ajali ya ndege jijini Washington, Trump aliulizwa na mwandishi mmoja…