Serikali kukamilisha mwongozo wa watumishi wanaojitolea

Dodoma. Serikali imesema iko katika hatua za mwisho kukamilisha mwongozo utakaoangalia jinsi ya kuwaingiza katika mfumo watumishi wanaojitolea nchini. Akizungumza bungeni leo, Jumatano, Januari 29, 2025, Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu alisema mwongozo huo utakuwa na mchakato wa kuwaingiza watumishi hao katika mfumo rasmi,…

Read More

Mbunge ataka sheria ya kuwahasi wabakaji watoto

Dodoma. Kwa mara nyingine suala la ubakaji bungeni, safari hii mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Asya Sharif Omar, amehoji ni lini Serikali itapeleka seria ya kuwahasi wabakaji wanaofanya udhalilishaji wa kijinsia kwa watoto. Takwimu za Msingi Tanzania zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), zinaonyesha kuwa matukio ya ubakaji yameongezeka kutoka 8,691 mwaka 2022…

Read More