Month: January 2025

Benki ya Exim Tanzania inayo furaha kutangaza kukamilika kwa ununuzi wa Canara Bank Tanzania Limited. Huu ni ununuzi wa benki ya tatu ambao umefanyika na

Seoul. Majanga katika usafiri wa anga yameendelea kuikumba Korea Kusini baada ya ndege ya Shirika la Busan nchini humo kushika moto muda mfupi kabla ya

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa wa juu wa Chadema wakipanga wiki moja ya kikao cha kupanga mikakati ya kuendesha chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu

Dodoma. Serikali imesema iko katika hatua za mwisho kukamilisha mwongozo utakaoangalia jinsi ya kuwaingiza katika mfumo watumishi wanaojitolea nchini. Akizungumza bungeni leo, Jumatano, Januari 29,

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza Padri Romanus Elamu Mihali kwa kuteuliwa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Fransisko, kuwa

Wanawake wawili waliovunja rekodi za dunia kwa urefu na ufupi wao hivi karibuni walikutana kwa mara ya kwanza jijini London, Uingereza, na

Dodoma. Kwa mara nyingine suala la ubakaji bungeni, safari hii mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Asya Sharif Omar, amehoji ni lini Serikali itapeleka seria ya

Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu leo amekabidhiwa ofisi rasmi na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika