“Itachukua miaka kusaidia watu kukabiliana na matokeo yasiyoonekana ya vita" – Masuala ya Ulimwenguni

“Ninatiwa moyo kila wakati na nguvu na ujasiri wa watu wa Ukrain. Nikiwa nimesafiri hadi Kharkiv, Kherson, Mykolaiv, Sumy, Zaporizhzhia, na hivi majuzi zaidi hadi Kramatorsk na Lyman, nimejionea jinsi usumbufu wa huduma muhimu kama vile umeme, maji na joto unavyoathiri watu. Nimezungumza na watu ambao wapendwa wao waliuawa na ambao nyumba zao ziliharibiwa wakati…

Read More

BoT: Mikopo ya kobe, nyoka haina leseni

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kusambaa mitandaoni mahojiano ya mmoja wa wanawake akizungumzia uwepo wa mikopo aina ya kobe na nyoka, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wananchi kutokopo kwa kuwa haijakatiwa leseni. Taarifa ya BoT iliyotolewa jana inaeleza kuwa, kuna taarifa katika mitandao ya kijamii zinazohusisha alama za wanyama kama vile kobe…

Read More

Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

Dar/mikoani. Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita. Kwa mujibu wa viongozi hao wa dini, wananchi hawapaswi kuuanza mwaka 2025 kwa kukumbuka changamoto, mabaya na madhila yaliyowatokea mwaka jana, wanapaswa kuganga yajayo kwa kuruhusu faraja ya mwaka mpya….

Read More

Othman atangaza nia kugombea urais Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ametangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar kwenye uchaguzi mkuu ujao endapo chama chake kitaridhia na kumpa jukumu hilo ili awasaidie Wazanzibari. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amebainisha hayo leo Januari mosi, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi…

Read More

Moto wateketeza mali za wapangaji, Sh3.4 milioni

Moshi. Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vyumba vitatu vya wapangaji katika Mtaa wa Wailesi, Kata ya Soweto, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wakati wakijiandaa kupika chakula cha mchana kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya 2025. Vyumba hivyo vitatu vimeteketea kwa moto leo , Januari Mosi, 2025  ambapo kaya tatu kwa sasa hazina mahali pa kuishi…

Read More

Rita: Ndoa ya aina hii haitambuliki kisheria

Dar es Salaam. Licha ya kufunga ndoa ya dini miaka 10 iliyopita, Jane Elias alijikuta katika sintofahamu baada ya kuambiwa ndoa yake haitambuliki kisheria. Jane ni miongoni mwa wanandoa wengi wanaofunga ndoa katika nyumba za ibada, lakini wengi wao wanapofika kwenye sheria, hujikuta ndoa zao hazitambuliki kutokana na sababu mbalimbali. Jane anasema alifunga ndoa ya…

Read More