
Watu 10 wamekufa Marekani baada ya dereva kuparamia umati – DW – 01.01.2025
Hayo yameelezwa na Shirika la Upelelezi la Marekani ambalo limearifu kwamba linachunguza kisa hicho kama tukio la kigaidi. Tukio hilo limetokea mnamo saa tisa alfajiri kwa saa za Marekani kwenye makutano ya mitaa ya Canal na Bourbon wakati watu wakiwa wanafanya shereha za kuanza kwa mwaka mpya 2025. Mtaa wa Bourbon ni eneo maarufu la…