Mikoa minne kuanza uboreshaji daftari la mpigakura

Songea. Baada ya kuanza katika Mikoa mbalimbali ikiwemo Kigoma, hatimaye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura umefika wilayani Songea mkoani Ruvuma, huku wananchi wakionywa kuhusu kujiandikisha zaidi ya mara moja. Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INCE), kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la jinai na adhabu yake ni faini,…

Read More

Basigi: Mwendo ni huu hadi ubingwa

BAADA ya kuhitimisha duru la kwanza Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) ikiwa kileleni bila kupoteza mchezo, kocha mkuu wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema hawatabweteka na matokeo hayo kwani anakwenda kuwaongezea dozi vijana wake ili kuendeleza vipigo duru la pili ili kutetea ubingwa wa ligi hiyo. Simba inaongoza ligi hiyo baada ya klucheza mechi tisa…

Read More

Huyo Pacome gari limewaka | Mwanaspoti

KIUNGO wa Yanga, Pacome Zouzoua gari limewaka, amerudi kwenye ubora wake akifunga na kufanya balaa, huku akifunguka kuwa kwa namna walivyo fiti habari ya mtu kupigwa nyingi ni kikombe ambacho kila timu inaweza kukipitia. Pacome ambaye ni kama hakuanza msimu vizuri, hivi karibuni ameonekana kurejea katika fomu aliyokuwa nayo msimu uliopita kwa kutoa asisti na…

Read More

Trump, Ukraine, matumizi ya ulinzi – DW – 01.01.2025

Katibu Mkuu wa NATO, Mark Rutte, aliweka vipaumbele vya muungano huo kwa mwaka 2025 katika hotuba ya kutisha akionyesha jinsi vita vilivyo karibu sana na mlango wa muungano huo wa kijeshi. “Kutoka Brussels, inachukua siku moja tu kuendesha gari kufika Ukraine,” alisema katika hotuba ya Desemba katika taasisi ya Carnegie Europe. “Huko ndiko mabomu ya…

Read More

Bondia Mgaya kuzikwa kesho Januari 2, Jeti Lumo

Mweka hazina wa Chama cha mabondia wa ngumi za kulipwa nchini, Cosmas Cheka amesema kuwa bondia Hassan Mgaya sasa anatarajia kuzikwa kesho Januari 2, 2025 badala ya leo Jumatano kama ilivyotangazwa awali kutokana na kusubiriwa baba wa marehemu anayetarajia kuwasili leo kutokea DR Congo. Cheka amesema kuwa awali baba wa marehemu alitaka wazike leo kwa…

Read More