
Nani kuwa mrithi wa Kinana CCM?
NANI atakuwa makamu mwenyeki ti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara ni swali ambalo limeku wa likiulizwa na makada wa CCM na hata wafuatiliaji wa karibu wa siasa nchini, hasa mwaka huu ambao Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu Rais, Wabunge na Madiwani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Jibu la swali hilo…