Safari ya Tunisia, Ngoma atoa ujanja mapema

WAKATI kikosi cha Simba kikielekea Tunisia alfajiri ya leo kuifuata CS Sfaxien, kiungo wa timu hiyo ambaye pia ni nahodha msaidizi, Fabrice Ngoma ametuma ujumbe, huku akitoa ujanja wanaopaswa kuutumia ili kufanya kitu tofauti. Hiyo ni kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kundi A utakaochezwa Jumapili, wiki hii, Tunisia ambapo Simba inahitaji ushindi au…

Read More

“Wanawake wajasiriamali wapewa mafunzo maalum,Aweso atoa Mil 10 kuwawezesha”

Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso amechangia kiasi Cha shilingi Mil.10 kwa wajasiriamali wadogowadogo 600 waliopatiwa mafunzo maalum yanayoratibiwa na Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Tanga Mhe.Husna Sekiboko. Akizungumza mara baada ya kuchangia Mil.10 Mhe.Aweso amesema kuwa hawezi kuwasahau waliomtoa. “Dada Husna umenikumbusha 2015 Wakati nimemamliza masomo yangu ya chuo na kusema Marekani yangu ni…

Read More

UNHCR inapendekeza uungwaji mkono zaidi kwa watu wanaokimbia ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji – Global Issues

Vurugu hizo zinakuja baada ya mahakama ya juu nchini Msumbiji kuthibitisha tarehe 23 Disemba kwamba chama tawala cha Frelimo kilishinda uchaguzi wa urais ambao ulikuwa na mzozo uliofanyika mwezi Oktoba, na hivyo kuzua maandamano. Nchi ya kusini mwa Afrika pia bado anaendelea kupata nafuu kutokana na madhara ya Kimbunga Chidoambayo ilisikika wiki chache zilizopita. Hali…

Read More

Matukio haya kutikisa siasa za Tanzania 2025

Mwaka 2025, kwenye uga wa siasa nchini, utakuwa na matukio mengi ambayo yaanza kurindima kuanzia Januari hii, huku historia ikitarajiwa kuandikwa kupitia matukio hayo ambayo kwa namna moja au nyingine yatakuwa na mengi ya kujifunza. Ni dhahiri kwamba Watanzania, ambao ndio wahusika wakuu katika michakato yote ya kisiasa, watakuwa na nafasi ya kushiriki moja kwa…

Read More

Mwaka 2025 waanza kwa kicheko, mafuta yakishuka bei

Dar es Salaam. Bei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Januari 2025 imeendelea kushuka nchini, ikilinganishwa na Desemba 2024, huku sababu kubwa ikitajwa ni kupungua kwa viwango vya kubadilishia fedha za kigeni. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Januari 1,…

Read More